Naomba Mkeka kama huu wa Samsung TV ili nijilipueHisense, New stock new price
32" smart 390000
43" led 550000
43" smart 620000
50" smart 4k 950000
55" smart 4k 1050000
58" smart 4k 1150000
65" smart 4k 1600000
70" smart 4k 1900000
75" smart 4k 2650000
Karibuni nyote
0777650286
View attachment 2334187View attachment 2334190View attachment 2334189View attachment 2334188
Mkuu hii bei ni ya zanzibar au bara na kama zanzibar 43 inch ya kawaida mpaka Dar pesa ngapi?Hisense, New stock new price
32" smart 390000
43" led 550000
43" smart 620000
50" smart 4k 950000
55" smart 4k 1050000
58" smart 4k 1150000
65" smart 4k 1600000
70" smart 4k 1900000
75" smart 4k 2650000
Karibuni nyote
0777650286
View attachment 2334187View attachment 2334190View attachment 2334189View attachment 2334188
Akikujibu nistueMkuu hii bei ni ya zanzibar au bara na kama zanzibar 43 inch ya kawaida mpaka Dar pesa ngapi?
Mkuu tuwekee na Bei za TCLMtendeni Zanzibar
Aweke na skyworth, zec na evvoli kama anazoMkuu tuwekee na Bei za TCL
Mkuu tv za TCL Bei zake unauzajeLg smart 4k 49"
Second hand(UK)
Condition bodo iko safi kama mpya tu
Bei: 750000 tu
Tupo Mtendeni Zanzibar
0777650286View attachment 2333574View attachment 2333577View attachment 2333576View attachment 2333578View attachment 2333575
hivi tv kama hyo had ifike Dar gharama zikojeLg smart 4k 49"
Second hand(UK)
Condition bodo iko safi kama mpya tu
Bei: 750000 tu
Tupo Mtendeni Zanzibar
0777650286View attachment 2333574View attachment 2333577View attachment 2333576View attachment 2333578View attachment 2333575
Kitu gani hicho kifike 900000 mkuu, hebu kama unaitaji chochote nicheki dm, sisi ni wazoefu wa hapo bandarini, tutakusaidiaTatizo ushuru wa bandari.. utajikuta unainunua kwa laki 9!..
Bei ya Zanzibar, ya kawaida 43" mpka dar 610000Mkuu hii bei ni ya zanzibar au bara na kama zanzibar 43 inch ya kawaida mpaka Dar pesa ngapi?
Utaipata kwa 840000hivi tv kama hyo had ifike Dar gharama zikoje
Hizo hatuna nduguAweke na skyworth, zec na evvoli kama anazo
Samsung AU SeriesNaomba Mkeka kama huu wa Samsung TV ili nijilipue
Mkuu hiyo samsung 50" ina bei gani sasa hivi?Lg zipo 49" 1.2m, samsung 50" 1.3m, sony hometheatre zipo dz 650 tunauza 650000, frigi hatuhusiki nazo
Mkuu ikiwa 40" inakuwa bei gani?Zipo lg mkuu, tunauza 1.7m
50" now 1.2mMkuu hiyo samsung 50" ina bei gani sasa hivi?
Hamna 40 mkuu, ipo 43" tunauza 1mMkuu ikiwa 40" inakuwa bei gani?
Mkuu una sound bar yenye tower speakers na inaendajeHamna 40 mkuu, ipo 43" tunauza 1mView attachment 2340558
Mtendeni zenji tayari shidaaaaa hii hapaYupo mtendeni zenji na dsm anatuma unapokea mzigo siku hiyo hiyo