Aina ganIpo inch 25.ni 120k
Karibu
Nnazo man
Wakuu nahitaji Soround speaker za sony kama hizi hapa mwenye nazo tafadhali tufanye biashara. Pia abduli kama unaweza nisaidia najua kwa zanzibar hizo vitu ni rahisi kupatikana.
njoo pmNnazo man
Bado unayoMicromax smart tv 32"
Price: 380000
Uko wapi mkuu?Nnazo man
Zipo mkuuBado unayo
Naona haupo siriazi wewe.Nnazo man
52" sina tena mkuu,43" iko mpya 930,000/
Hapana,lg smart 43" sina,ninayo TCl smart 43" 850,000/43'' lg smart unayo? bei ni gani?
Mkuu TV zako flat screen led HDTV series 4 Zinashindwa kabisa kusoma HDD nilinunua kwako mwezi wa Pili mwaka nikapokelea bandari ya dar nikakutumia tena nikiwa tanga kwa ndege nayo hivyo hivyo nimejaribu HDD tatu wakati wenzangu zinadetect kwa HDD zilizojaribia kwangu, labda Mkuu ujue hii series inatatizo ya kupeleka umeme wa kutosha kuwesha kuboost HDD kudetect maana lengu kubwa lilikuwa ni kutumia pia na hddZipo mkuu
0777650286 & 0718919725
Mkuu mimi nnazo lg 43" smart bei ni 1.1m43'' lg smart unayo? bei ni gani?
Mkuu mimi nnazo lg 43" smart bei ni 1.1m
Sio kweli, tatizo ni wewe hujui wapi unaweza kuipata, external hard disc haina tofauti yoyote na flash, hata ile ulioirejesha niliitest inasoma kama kawa, ni wewe hijui wapi pa kuiona na niliwahi kukufahamisha lakini naona haikusaidiaMkuu TV zako flat screen led HDTV series 4 Zinashindwa kabisa kusoma HDD nilinunua kwako mwezi wa Pili mwaka nikapokelea bandari ya dar nikakutumia tena nikiwa tanga kwa ndege nayo hivyo hivyo nimejaribu HDD tatu wakati wenzangu zinadetect kwa HDD zilizojaribia kwangu, labda Mkuu ujue hii series inatatizo ya kupeleka umeme wa kutosha kuwesha kuboost HDD kudetect maana lengu kubwa lilikuwa ni kutumia pia na hdd
Zanzibarunapatikana wapi?
Unapochomeka HDD lazima iungurume na ilete pop up message kama imedetect huko kote ulikoniambia nimecheck kile kitaa cha ext HDD kinablink kuashiria umeme unaofika kwenye HDD ni mdogoZanzibar
Nnachojua mimi external hard disc haitegemei umeme ili isome kwenye tv, tv ikiwaka nayo itasoma kama ambavo husoma flash disc ya kawaida, mbona sisi tulizitest zote zimesoma, hata hiyo uliyoirejesha mbona imesoma? Na nilikutumia hadi picha ukaona, wewe external hard disc yako ni ya aina gani? Yaani unanishangaza kusema hard disc inategemea umeme ili isome kwenye tv, sema kifaa ulichonacho lakini sio hard disc, hard disc lazima isomeUnapochomeka HDD lazima iungurume na ilete pop up message kama imedetect huko kote ulikoniambia nimecheck kile kitaa cha ext HDD kinablink kuashiria umeme unaofika kwenye HDD ni mdogo
Zanzibar