Mkuu naweza pata Any Brand ya nchi 40' kwa laki 6Unapatikana wapi mkuu
Utapata mkuu..Njoo tuyajenge 0629565168....Mkuu naweza pata Any Brand ya nchi 40' kwa laki 6
Sawa mjushi wacha nikusave kabisa itafaa zaidiUtapata mkuu..Njoo tuyajenge 0629565168....
Poa poa mkuuSawa mjushi wacha nikusave kabisa itafaa zaidi
Bila samahani mkuu...ngoja waje wadau.binafsi sina jibu la uhakikaMkuu samahani hivi TV za ZEC zinapatikana?
OkMaana sijawai kuiuza hio Tv
Mkuu hii ina punguzo?Panasonic bluray DVD play....hdmi, flash bei....80000/=
Mkuu nitakupa...njoo PMMkuu hii ina punguzo?
Punguzo yake n ngapi na unapatikana wapi ikiwa ndani ya mkoa wa mwanza haupo malipo yanafanyikaje....LCD LG inch 32 380000/=
Mwanza na tawi mkuu..nicheck 0629565168...discount ipoPunguzo yake n ngapi na unapatikana wapi ikiwa ndani ya mkoa wa mwanza haupo malipo yanafanyikaje