Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Kama heading inavyosomeka wadau,Screen shot simu yako tuone Apps za kijanja unazotumia,Labda hujui ku'screen shot!?kwa Tecno na simu zingine ispokua Samsung,Bonyeza kidubwana cha kupunguzia sauti na kidubwasha cha kuzimia simu kwa pamoja,Kwa wale wenye Samsung bonyeza kudubwana cha kuzimia simu na button ya Katikati kwa pamoja.
@NgarenaroBoy.
@NgarenaroBoy.