Zitapita Anga lipi hadi kufika maana nasikia Urusi kachukua superiority anganiKumbe Poland ilikuwa bado na Mig-29 serviceable nyingi na sasa inaleta hizo 30 kwa Ukraine. Ukraine makampuni yake yalikuwa yanatoa baadhi ya spare parts kwa Poland ambao kwa sasa wanataka kubadilika watumie F-35 hivyo hizi hawaziitaji tena. Ukraine marubani wao wako intact na hizi ndio ndege zao.
Ama kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, yani odds zote ziko against Russia
Hii vita ni ngumu kuishaMarekani wakishaanza kutoa raia ujue kuna kitu wanajua kinatokea. Urusi sijaelewa tangazo lao kama ni kufanya evacuation ya raia walio nchi za Ulaya au kuwaleta waliokuwa stranded kwa ndege zao kunyimwa ruhusa kupita, sijasoma taarifa kwa kina. Nadhani Russia ataamua kutumia bombers au missiles kama alivyofanya Georgia na Syria, Ukraine ndio hivyo imeongezewe fighters. Sijawahi ona dogfights nahisi zinakuja anga la Ukraine
Hio ni njozi ya mchanaIla Russia mpaka sasa mategemeo ni tofauti na hii ya askari wake kutelekeza tanks seems vikwazo vya uchumi vimeanza kum hit vibaya. Watu wa magharibi wakishakulegeza wanaweza kutumia vita hii kumshughulikia na kutoa Putin madarakani.
Wewe ulijua Jeshi la Urusi halipigwi au?Hizi taarifa za maelfu ya askari wa Urusi kuuawa huwa mnazitoa wapi? We unajua idadi ya wanajeshi 2000 ikiuawa ni sawa na vifaa kiasi gani vimeteketea? Kuna gari ya kijeshi inabeba askari 40?? Je kuna helkopta inayobeba askari 50?? Anyway umejiuliza hao askari maelfu waliouwa wako wapi? Kwa akili yako wanapouawa askari 300 unahisi mapigano yanakuwaje? Kwako wewe unadhani vitani mnaenda kama kushangilia mpira kwamba mnakaa pamoja watu mpaka 500??
Umepita hata JKT??
Ukraine anapigana na Nchi mbili why asisaidiwe⚡️ Moscow regrets negotiations with Ukraine did not start a day earlier, there was an opportunity – Kremlin spox
Kremlin spox Dmitry Peskov said imposing sanctions against Putin is short-sighted and absurd for solving problems. He added, weapon supplies by Western countries to Ukraine are a dangerous factor that does not contribute to restoration of order.
AiseeeUS urges Americans to leave Russia “IMMEDIATELY”
The US Embassy in Russia has advised Americans to leave the country urgently with a “contingency plan that doesn’t rely on US government assistance”.
Their official advisory cites “ongoing tension along the border with Ukraine, the potential for harassment against US citizens, the embassy’s limited ability to assist US citizens in Russia, Covid-19 and related entry restrictions, terrorism, harassment by Russian government security officials, and the arbitrary enforcement of local law.”
The State Department currently has a Level 4: Do Not Travel advisory in place for Russia for US citizens.
Tatizo hawawezi kukulewaa.Hizi taarifa za maelfu ya askari wa Urusi kuuawa huwa mnazitoa wapi? We unajua idadi ya wanajeshi 2000 ikiuawa ni sawa na vifaa kiasi gani vimeteketea? Kuna gari ya kijeshi inabeba askari 40?? Je kuna helkopta inayobeba askari 50?? Anyway umejiuliza hao askari maelfu waliouwa wako wapi? Kwa akili yako wanapouawa askari 300 unahisi mapigano yanakuwaje? Kwako wewe unadhani vitani mnaenda kama kushangilia mpira kwamba mnakaa pamoja watu mpaka 500??
Umepita hata JKT??
Ndio maana nasema hayo mazungumzo ni geresha tu[emoji298]️ Ukraine’s main goal of negotiations with Moscow is an immediate ceasefire and withdrawal of Russian troops – Zelensky office
Hajawahi fungiwa AngaHata Trump amewashangaa wanampa mtu vikwazo ambaye kashazoea kuwa navyo miaka yote haha
Subili wakabidhi hizo ndege. Utakuja hapa kutupa mrejesho.Kwa Nini Russia asimjaribu Poland cause hiyo ndio njia ya Silaha zinazowatoa Jasho Hadi sasa
Weka ushahidi wa hayo madai yako kuwa genocide haizingatii idadi kubwa ya watu kufa.Kupiga makombora kwenye makazi ya watu na kuua watu hiyo ni mojawapo wa mauaji ya kimbari, labda utakua haujui nini maana ya huo msemo, huwa haijalishi idadi ya watu, kimsingi umeelekeza makombora kunako watu kwenye makaz yao na kuua akina bibi na watoto wasiokua na hatia.
Sasa mimi nitaangalia channel zote wako watu wanatizama TBC wako Channel 10 na wanaamini hizo 100% yote inategemea na wewe unataka kusikia nini. Mimi natizama wale wale Pro west media ndio maana nimesema toka asubuhi sijaona jipya ni yale yale ya jana sasa kama kuna channel unatizama iko update tuwekee hapa jina tuangalie pia hakuna shidatatizo lako unataka kutuelezea kama vile sis hatuna access na hizo Tv,hapo ndipo nakukatalia Mkuu,leta habari lakini punguza kahawa maana sote tunaangalia kama wewe tu😂
Ina wezo wa kuvunja vioo na kutikisa nyumba ambayi hiyo effect inaweza kutokea kwenye kilometer 900 uko.HIVI HIZO SILAHA ZA NUCLEAR LIKILIPULIWA LINAFIKA MPAKA AFRICA AU LINALENGA HUKOHUKO TU ULAYA?
Hao raia walouawa walihitajika kuchakazwa, wakulaumiwa ni Rais wao Muigizaji aliyewapa silaha kupigana na majeshi yenye nguvu na weledi wa vitaKupiga makombora kwenye makazi ya watu na kuua watu hiyo ni mojawapo wa mauaji ya kimbari, labda utakua haujui nini maana ya huo msemo, huwa haijalishi idadi ya watu, kimsingi umeelekeza makombora kunako watu kwenye makaz yao na kuua akina bibi na watoto wasiokua na hatia.
Kwa upande wa wanajesh kuuawa, hiyo sio issue maana wale wapo vitani na wameingia wakijua watauawa.
Punguza vichambo adija kopa.vita ni vita na silaha ni silahaSubili wakabidhi hizo ndege. Utakuja hapa kutupa mrejesho.
Mmedanganywa mpaka mmekua hamuuoni ukweli. We na akili zako Russia ndio wa kumtumia askali 7,000 eti mmesogeza askali wa NATO. Huko donbas kulikua na askali zaiei ya 60,000 na walipigwa kwa saa mbilitu wakatupa bunduki na kuvua gwanda kujichanganya na raia huku wakiwaelekeza askali mamluki wa urusi vituo vya kuanza kuviwhika. Na hapo haijatumika silaha yeyote modern. Ni ma 40 Barrow's,Kyatuehka,120mm,140mm,60mm, hivo Yani air defense alizoingia nazo Russia Ni ma Buk,SAAMs,Kub na mizinga michache ya infantry ya kutungua ndege Ant air cannon na ant air gun. Saivi mnaleta polojo za Russia kuishiwa nguvu ivi mpo serious kweli?.
Mbona hawajaweza nowSubili wakabidhi hizo ndege. Utakuja hapa kutupa mrejesho.
Mmedanganywa mpaka mmekua hamuuoni ukweli. We na akili zako Russia ndio wa kumtumia askali 7,000 eti mmesogeza askali wa NATO. Huko donbas kulikua na askali zaiei ya 60,000 na walipigwa kwa saa mbilitu wakatupa bunduki na kuvua gwanda kujichanganya na raia huku wakiwaelekeza askali mamluki wa urusi vituo vya kuanza kuviwhika. Na hapo haijatumika silaha yeyote modern. Ni ma 40 Barrow's,Kyatuehka,120mm,140mm,60mm, hivo Yani air defense alizoingia nazo Russia Ni ma Buk,SAAMs,Kub na mizinga michache ya infantry ya kutungua ndege Ant air cannon na ant air gun. Saivi mnaleta polojo za Russia kuishiwa nguvu ivi mpo serious kweli?.
Kwan ulichaguliwa kwend kukata mitaa huko??Nili chaguliwaga kwenda urusi ila nilivo fatilia hao washkaji ni wabaguzi balaa yani kuna mitaa mtu mweusi hukatizi