Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Hizi zilikuwa zinaingia Ukraine kutokea Belarus usiku wa kuamkia leoView attachment 2134918
Ni kawaida kwa sababu hawapo upande wa Urusi.. so ni jambo la kawaida kumpiga vita aduiAisee twitter now ukitwitt vibaya kuhusu UKRAINE unakuwa SUSPENDED. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan mitandao ya kimagharibi wanataka kile wanachotaka wao tu.
Jamaa ni waoga sana hawataki mawazo mbadala. Halafu hao ndio huwa wanatuhubiria democracy na uhuru wa kujieleza/kutoa maoniAisee twitter now ukitwitt vibaya kuhusu UKRAINE unakuwa SUSPENDED. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan mitandao ya kimagharibi wanataka kile wanachotaka wao tu.
Nimejaribu nikaambiwa nifute [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa ni waoga sana hawataki mawazo mbadala. Halafu hao ndio huwa wanatuhubiria democracy na uhuru wa kujieleza/kutoa maoni
Aisee twitter now ukitwitt vibaya kuhusu UKRAINE unakuwa SUSPENDED. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan mitandao ya kimagharibi wanataka kile wanachotaka wao tu.
Balaa hilo kombola lilivyofumua hilo jengo nafananisha na silaha za Israelβ‘οΈ Massive explosion next to Kharkov govt HQ (social media reports)
Unverified footage appears to show a projectile striking Kharkov and reportedly causing significant damage to the local government headquarters.
View attachment 2134898
Acha tu tuoneshane makali ili ifikie hatua tuwe tunaheshimianaβ‘οΈ Massive explosion next to Kharkov govt HQ (social media reports)
Unverified footage appears to show a projectile striking Kharkov and reportedly causing significant damage to the local government headquarters.
View attachment 2134898
Dah...Russia inaweza kuifuta kabisa Kiev saa chache zijazo...ni hatari kabisa...msururu wa wanajeshi wa Russia wanaoisogelea Kiev ni balaa...Aseee mliokuwa mnaomba Russia awaonyeshe power aliyonayo.
Kaanza Now, Aloooh Tuombee Waafrica wenzetu walioko huko.
Sina mda na Neo Nazis watajuana wenyewe.
Hata mi nimesikia hivyo ila sjui bom hilo lina nguvu gani za kuleta athariKuna taarifa zinasema usiku Urusi iliishambulia Ukraine kwa Vacuum Bomb
Russia mpaka sasa hajatumia silaha nzito Ukraine....anakula timing muda sii mrefu atatoa altimatum kuusafisha mjiKuna taarifa zinasema usiku Urusi iliishambulia Ukraine kwa Vacuum Bomb
Attach source ya hii pleasJeshi la Urusi limeonya kuwa raia wote waondoke Kyiv kabla halijaanza oparesheni katika mji huo. Muda wa Kyiv ukifika halitachangua pakupiga.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sasa freedom of opinions/expression ambayo imekuwa ni Kama Sala kwa magharibi iko wapi hapo??Aisee twitter now ukitwitt vibaya kuhusu UKRAINE unakuwa SUSPENDED. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan mitandao ya kimagharibi wanataka kile wanachotaka wao tu.