LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Lewis alijua dogo kaja kupigwa si kupigana.πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ya.. matokeo yake ikawa aibu kwake mbele ya manager wake, mbele ya wapambe wake, mbele ya mke wake na familia yake kwa ujumla. 🀣🀣🀣
 
Hivi huo msafara wa vifaru vya urusi havijafika tyu kyv,yaan toka usiku wa jn wanasafiri
Nadhani wanatoa nafasi kwa raia kuondoka. Nasikia raia wamepewa mpaka J5 baada ya hapo asilaumiwe mtu kwa kuua raia na njia za kupita wasiguswe wametoa.
Ukraine ipo katika hali mbaya sidhani kama wanaweza rudia ile suprice waliyowapa warusi juzi, na wakirudia basi Putin atakuwa kwenye hali mbaya kisiasa.
 
Wanapigana kiume kupita kiasi, Belarusi katuma jeshi kumsaidia Putin.
 
Vita vimekuwa vigumu kwa Mrusi, Belarusi naona kaingiza jeshi kimsaidia Urusi.
Boss, hapana mpaka sasa Ukrain yupo kwenye hali mbaya labda afanye muujiza kama wa juzi lakini kimuonekano sidhani.
 
Vita mbaya sana kuna dogo wa kihindi 21 wa mwaka wa mwisho medicine amefariki huko alipokua amekwenda kununua chakula inasikitisha maongezi ya mwisho na mzee wake β€œKama una bendera kubwa aitundike Kwenye Jengo analokaa”
India ni mojawapo ya nchi zilizokaa kimya kupiga kura kuhusu vitendo vya kihalifu vya Urusi ndani ya Ukraine.
 

Russia has nothing to do with France.. all of us we were expecting to see Ukraine turning to ash within 24 hours. yet until today putin's army is still struggling to put in order some ukrein's cities while we are in fourth day. what shame is this!!. guys let ask you 1 question, does putin gets sleep this days? πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukraine knows how to expose a lier!!
 
Mjumbe wa Domincan Republic UN general assembly : Anashauri kuwekwa chini silaha na kutumia njia za kidiplomasia kutatua mzozo
 
Vitendo vya kiharifu?? USA to Iraq, Libya Na Israel to parestina hivyo sio vitendo vya kiharifu???
Wapi ilisemwa kwamba USA to Iraq, Libya Na Israel to parestina hivyo sio vitendo vya kihalifu?
Kwanini unaona ni sahihi kuhalalisha ubaya kwa ubaya mwingine?.
 
Duuuh,kiduku hajawahi kuacha kutest mitambo yake!
 
Wapi ilisemwa kwamba USA to Iraq, Libya Na Israel to parestina hivyo sio vitendo vya kihalifu?
Kwanini unaona ni sahihi kuhalalisha ubaya kwa ubaya mwingine?.
Ndio mtulie Sasa!Mkuki Kwa Nguruwe
 
Reactions: Tsh
Ndio mtulie Sasa!Mkuki Kwa Nguruwe
Nani watulie sasa? Yaani wewe vita na mauaji havikusumbui, kinachokusumbua ni nani anaua?

Endapo ungelaani vita wakati USA anavamia na ukalaani vita wakati Urusi anavamia ungeonekana hupendi mauaji.

Ukitaka kuamini assume umesikia USA kamuunga mkono Russia kuimalizia Ukraine na kampa vifaa na jeshi lake. Utashangilia ukiamini USA kasalimu amri bila kujali hilo balaa la vifo kwa watu wa Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…