LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Halafu nawashangaa humu wanasema Ukraine kapewa msaada Su-29 na MiG!? Wat the stupid is this. Hizi ni ndege za Russia. Kwahiyo Russia inampatia Ukraine msaada ili kupambana na Russia!?
Swali dogo sana hili ukijua operators wa Soviet made weapons ni kina nani, silaha gani zilitengenezwa na Soviet Union na bado zinatumika
 
Kumbe Russian Soldiers wameuawa wengi tu, mia tano sio kidogo na tena hiyo wamekiri wenyewe kabisa na kama ni hivyo utakuta wameuawa wengi zaidi ya hao. Vita havina cha Super Power.
 
Hawa jamaa wapuuzi waongo. Nimechoka kuwa nahoji taarifa zao za uchochoroni, tangu lini battle plans zikawekwa kwenye vehicle frontline, kwani HQ kazi yake nini. Yani documents za juu kabisa kuhidhinisha vita, zenye saini na mhuri eti wanajeshi waende nazo vitani. Makamanda wakubwa wote wako Moscow wamekaa, hata makamanda wa military districts za Russia hawako Ukraine sasa unaanzaje kupeleka hizo taarifa, unampa nani
 
Kumbe Russian Soldiers wameuawa wengi tu, mia tano sio kidogo na tena hiyo wamekiri wenyewe kabisa na kama ni hivyo utakuta wameuawa wengi zaidi ya hao. Vita havina cha Super Power.
Bora wao Russia wanaongea ukweli, ona hawa Ukraine wanavyoficha idadi ya wanajeshi waliokufa.

Ila wanakiri kuwa kila saa wanapoteza raia na wanajeshi wao wa Ukraine.



Ndio maana rais wao analia lia kuwa Russia wanataka kuifutilia mbali Ukraine ktk uso wa dunia.

 
Wanajeshi wa urusi waliopoteza maisha wanaoripotiwa kwenye link hiyo ni 498, na takriban 1600 wamejeruhiwa.

Na kwa upande wa Ukraine wanajeshi walioripotiwa kufa sio chini ya 2870, wakati majeruhi ni 3700 na mateka ni 572.
yes kila upande umetoa takwimu zaView attachment 2136552ke, but km kawaida ya vita kila mtu hutoa takwimu ndogo za casualities tofauti na uhalisia
 
Swali dogo sana hili ukijua operators wa Soviet made weapons ni kina nani, silaha gani zilitengenezwa na Soviet Union na bado zinatumika
Mzee sijakuelewa unachoongea. Hebu rudia tena. Katika hizo nchi zilizokuwa Soviet nchi ipi inatengeneza SU and MiG
 
Hapo mwisho umeandika " Dawa ya NATO inachemka". Yaani umezungumza Kimamlaka kabisa. Hakika JF kiboko yaani hadi Russia Defense Minister yumo humu
Bila kuwa na Russia ama Ukraine wa Kimasichana ama kwa Bibi Nyau na Kwa Mtogole, Jamii Forums hainogi. Ha ha haaa!!! (jokes).
===
Kauli ya dawa inachemka nilikuwa nalenga kuonyesha seriousness aliyokuwa anaionyesha Mheshimiwa Rais Putin kwenye clip niliyoambatanisha. Kwa namna yoyote ile sikuwa najaribu kupoka mamlaka ya Waziri wa Ulinzi wa Russsia ndugu Shongue(serious)
Kumbe Russian Soldiers wameuawa wengi tu, mia tano sio kidogo na tena hiyo wamekiri wenyewe kabisa na kama ni hivyo utakuta wameuawa wengi zaidi ya hao. Vita havina cha Super Power.
Hata mmoja ni wengi kama unajua thamani ya uhai.
 
hakuna anaeongea ukweli kila mtu anapiga propaganda, takwimu zinazotolewa na ukraine na urusi zote ni za uongo kila mtu kapoteza mara kadhaa zaidi ya hao sema huwez sema ukweli wakati watu wako vitani unashusha morali na kuingiza uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…