Hapo yupo kijiweni anakunywa kahawa huku anaongea nonsense "malekani"Huna akili pathetic!!
Unajaribu kunogesha uongo huku NATO wanajua fikra vita na Russia sio ya kitoto na kujaribu kwenda vitani na Russia ni kujimaliza wenyewe. Ukraine kasema NATO ni waoga sana, sasa kama anasema hivyo huku akiwa jirani kabisa wewe unayeishi mchambawima huku ukikaza misuli ya kalio unabisha nini?Nilijua tu nikigusa panapouma mtafuruka kutoka Moscow ya kingolowila mkiwa mmefura kama mmemeza Bicarbonate soda ya kuumulia maandazi😂
Hueleweki..wanawazuia kivip si umesema Russia imeshika nchi wanajesh wa Ukraine wanatokea wapi ss?View attachment 2140571wanajeshi wa ukraine wakizuia raia wasikimbia. hawa jamaa maji yamewafika shingoni wanataka kuwageuza raia kama ngao
Hizo ndio hoja za BAVICHA akili zao za utumwa tu, akifanya mmarekani BAVICHA wanasema kina baraka za UN ila akifanya urusi kakurupuka. Uzuri Russia kaona UN ni barking dog kama ilivyokuwa League of Nation hivyo tutegemee vita kamili sasaPalestrina sio watu wanaikufa?
Libya
Iraq
Acha unyumbu
vita kamili tena? 😂😂 wakati leo mapigano yamesitishwaHizo ndio hoja za BAVICHA akili zao za utumwa tu, akifanya mmarekani BAVICHA wanasema kina baraka za UN ila akifanya urusi kakurupuka. Uzuri Russia kaona UN ni barking dog kama ilivyokuwa League of Nation hivyo tutegemee vita kamili sasa
Libya,iraq, Afghanistan walichinjana wao kwa wao.Ukraine ni wamoja,hawachinjani wao kwa wao!Unamsapoti NATO aliyeua mamilion ya watoto Iraq Libya Vietnam Afghanstan
Ha ha ha mtu mzima anaumbuliwa hapa,hii comment yako ataipita kama haioni vile.Hueleweki..wanawazuia kivip si umesema Russia imeshika nchi wanajesh wa Ukraine wanatokea wapi ss?
Mna ushabIki wa kindezi sana nyie watu. Mnachukulia operations za kijeshi kama siasa na Samia na Mbowe. Huoni kama Ukrainian forces wanawazuia watu wasiondoke ili kuweka chambo ya kujilinda na Russia, hadi Jana almost 1.5m wameondoka nchini kama wakimbizi, nyie mnadhani Ukraine ipo salama sana.Hueleweki..wanawazuia kivip si umesema Russia imeshika nchi wanajesh wa Ukraine wanatokea wapi ss?
Sasa shambulizi dhidi ya vituo vya Nukilia si ndo tangazo la vita?Israel na US hawana Nia na sio lengo lao kuanzisha vita Iran.Lengo lao ni kuSubbotage na kuharibu Vinu vya nyuklia nchini Iran!
Unatamani Vita viendelee sio?..Ukraine yaiomba India imuombe Putin astopishe vita. Pia yawaomba eti raia wa kawaida wa India wamshinikize Putin astopishe vita.
Ni kama vile viongozi wa Ukraine wamechanganyikiwa, sasa raia wa India wanawezaje kumshinikiza Putin astopishe vita?
Halafu mbona kila kukicha hawa viongozi wa Ukraine wanalialia kuwatuma viongozi tofautitofauti wa nchi mbalimbali wakawaombee Poo kwa Putin wakati huo huo wanadai kuwa vita yao wanashinda?!
Mwambieni akae kimya andelee kushinda mechi yake hiyo
'Ask Russia to stop this war': Ukraine's appeal to India amid Russia invasion
Ukraine Foreign Minister Dmytro Kuleba urged India to ask Russia to stop the ongoing conflict and also called on ordinary Indians to put pressure on Russia to demand from them to stop the warwww.livemint.com
Ukraine ipi ...!!!Russia huo ubavu HanaUnajaribu kunogesha uongo huku NATO wanajua fikra vita na Russia sio ya kitoto na kujaribu kwenda vitani na Russia ni kujimaliza wenyewe. Ukraine kasema NATO ni waoga sana, sasa kama anasema hivyo huku akiwa jirani kabisa wewe unayeishi mchambawima huku ukikaza misuli ya kalio unabisha nini?
Jana jamaa walitaka kuweka eti No.fly.zone Ukraine lakini Putin akawaambia kufanya hivyo ni kiashiria cha vita wakawa wapole. Kama hujui warusi ni nani wewe subiri kipindi hiki, wale si walibya na wapo tayari kuungana kujenga nchi yao na kuilinda pia.
Sasa imefikia mahali Russia hamuamini NATO na hapo atajenga mifumo mingi ya hali ya juu ndani ya Ukraine na hapo kutakuwa na balance of power ulaya
Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?vita kamili tena? 😂😂 wakati leo mapigano yamesitishwa
gahwa mbaya sana
ebu niambia wamekwama wapi wahuni wamemuingiza dogo chaka alafu wakala konaWewe Unaota ndoto za mchana baada ya kuvimbiwa.Ukreini ingekuwa imekaliwa na Russia,kusingekuwa na mashambulizi yanayoendelea.Russia walitegemea kitonga kwenye hii vita lakni wamekwama mpaka Sasa!
Unajua hapa unaongea na watoto waliozaliwa 2000s. Watakuchosha tu.Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?
Vipi bangi yako ya chooni imekaa mda gani kichwani!?Hizi "ZANA" huzuia vifaru vya Russia visisonge mbele wakati vinasubiri hulipuliwa.Russia imepata hasara sana🤔View attachment 2140669View attachment 2140669
Vikwazo vya ujeruman si vya kuvitilia maanan kwa sabab ana interest nyingi Russia na hatoweza kuziachaRussian billionaire Alisher Usmanov’s superyacht, the world’s largest by volume, was reportedly seized by German authorities in Hamburg Russian billionaire's $594 million yacht seized by GermanyView attachment 2140081
sasa kwanini urusi imezidi kusonga mbele wakati ukrein ina zana za kuzuia vifaru ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haHizi "ZANA" huzuia vifaru vya Russia visisonge mbele wakati vinasubiri hulipuliwa.Russia imepata hasara sana🤔View attachment 2140669View attachment 2140669
Ona huyu naye..et operation ndogo , Raisi ametangaza ni full scale invasion alaf unasema operation ndogo , ?? Russia uwezo mdogo full stop ...case closed, now kaomba real combat imetokea ni mda wa kutuaminisha sasaAliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?