Sasa inafaa hata kwenye vijitaifa vyetu tuheshimiane, kwenye haki kwa wote na demokrasia ya kweli. 🤔Bottom line: Urusi imeivamia Ukraine na hakuna aliyefanya chochote kuizuia isiivamie.
Hata Marekani iliivamiaga Iraq kwa sababu za uongo na hakuna aliyefanya kitu.
Huyu Putin yuko sahihi kwenye hili acha kumfananisha na Hilter wa 1945. NATO na Marekani wana nia ovu kwenye hii dunia. Uingereza iko hatarini kuangamia kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, kiinchi kinakaribia kumezwa na bahari na kupigwa na vimbunga vizito. Kama Urusi na Uchina vikisambaratika wataanza vita ya kutafuta makoloni upya kwa sababu kuu mbili, kwanza kupata sehemu mpya ya kuhamia (kuhamishia watu wao na activities zao), pili kwenda kutunza misitu na kupanda misitu mikubwa ya kunyonya joto. Sasa hivi kikwazo kwao ni Russia na Uchina baasi.Remember Hii sio 1945 Hitler no internet .Vita ni ushetani Sasa Hivi .Putin ashaanza ushetani ataendelea na Hitler alianza kuvamia one country to another walivyomstukia it was too late .Wasirudie mistake
Wewe jamaa umenichekesha sana..Taarifa zimekaa kiupande mmoja, vyombo vya habari havipo huru na hii inaonyesha kumbe kupitia dunia kweli ndio sio na sio ndio kweli. Ukrain wamevunja daraja ili vifaru vya urusi visiingie kwenye mji wa Kiev ila watachelewesha tu lakini lazima tuingie.
Frontline commando wa Russian hata cm ya Putin hapokei kwa namna alivyo na midadi. Huyu mwamba alimisi sana vita yaani mda wote ana kiss russia flag ndogo aliyofunga kwenye mkono wake wa kuume.
Mbona anaomba kwa mkwala namna hiyo?Breaking: Nukuu ya Rais wa Ukraine!
"Russia will have to talk to us sooner or later about how to end hostilities and stop this invasion," he said.
"The sooner the conversation begins, the smaller Russia's losses will be."
Huyu Raisi wa Ukuraini jinga kabisa, Putini hakua na option nyingine zaidi ya kuvamia huyu mjinga utaleta je adui wangu kwenye mlango wangu?Breaking: Nukuu ya Rais wa Ukraine!
"Russia will have to talk to us sooner or later about how to end hostilities and stop this invasion," he said.
"The sooner the conversation begins, the smaller Russia's losses will be."
We jamaa, uko sawa kichwani?? Mbona hukushangaa USA kushindwa AFIGHANSTAN??Hivi unafuatilia haya mapigano. Hilo jeshi la Urusi mnaloliona linatisha mbona silioni? Urusi imepeleka special forces kufanya landing Kyiv mida ya mchana, Ukraine wamefanya counter attack wakiwa surrounded na Russia ameperform very poor. Nakwambia Urusi angekuwa amevamia Poland hapa tungekuwa tunashangaa
Huyu lazima tumweke kizuizini maana watu tumeacha shughuli zetu na kuja kwake then anataka Po. You must pay and you will pay us,Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says
The Ukrainian president says Kiev has been left to fend for itself as NATO is “afraid” to give it any guarantees
File photo: Ukrainian President Volodymyr Zelensky, February 14, 2022. © AP Photo/Efrem Lukatsky
Accusing the West of leaving Ukraine to face Moscow alone, President Volodymyr Zelensky said on Friday he was not afraid to negotiate an end to the Russian “invasion,” but would need security guarantees to do so.
Speaking in the early hours of the morning from Kiev, Zelensky said he had reached out to “partners” in the West to tell them that Ukraine’s fate was at stake.
“I asked them – are you with us?” Zelensky said. “They answered that they are with us, but they don’t want to take us into the alliance. I’ve asked 27 leaders of Europe, if Ukraine will be in NATO, I’ve asked them directly – all are afraid and did not respond.”
“We were left by ourselves. Who is ready to go to war for us? Honestly, I don’t see anybody. Who is ready to give Ukraine guarantees of NATO membership? Honestly, everybody is afraid,” the president added.
Russia sent troops into Ukraine on Thursday, with President Vladimir Putin declaring a special military operation to “demilitarize and denazify” the country. Moscow has since told Kiev that it would consider negotiating with the Zelensky government if it agrees to discuss neutral status for the country, among other things.
In an address on Friday, Zelensky said he is open to talking about the possibility of a neutral status for Ukraine, but insisted that his country needs third-party guarantees.
“We are not not afraid of Russia, we are not afraid to talk with Russia, talk about everything: security guarantees for our country and a neutral status. But we are not in NATO now – what security guarantees will we have? Which countries will give them?” he said, before adding that there should be talks to bring an end to the Russian military offensive.
Kremlin spokesman Dmitry Peskov said on Thursday that “neutral status and rejection of hosting [offensive] weapons systems” are Putin’s “red lines” for Ukraine and that the ball was now in Kiev's court.
You can share this story on social media:
- 264
- 1
mdogo wangu nyani na wewe umeingia mtego wa "maamuma"? unashabikia nchi huru kuvamiwa?Marekani yenyewe ikivamiaga nchi za watu kwa nini huwa hampigi kelele na kusema itasababisha vita vya dunia?
Marekani iliivamia Iraq kwa sababu za uongo, ikamtoa madarakani Rais wake, ikamuua, halafu ikaondoka imeacha mambo shaghalabaghala, lakini wao eti ni watu wema sana.
FOH with that BS
Angalia AL JAZEERA wao wako pande zote mbili. Hawana upendeleoAcha niendelee kuangalia habari tu!
Hivi BBC nao wana upande UPI? Manaake km kila vyombo vya habari viko biased manake taarifa sio sahihi?!!
Ni kweli ila ni km 15 tubtoka KyivMkuu umeangalia taarifa ya BBC ya saa ngapi? Maana saa 1 asubuhi ya leo Rais wa Ukraine alikuwa analalamika kuwa Urusi imelenga kumkamata yeye na familia yake kwanza. Vilevile, wamesema (BBC) majeshi ya Urusi yameteka Uwanja wa Ndege uliopo km 20 kutoka Mji Mkuu wa Kiev na yanatarajia kuingia Kiev muda wowote kutoka sasa.
Vita sio mchezo kaka Russia nae ana isoma namba
Kwanza manyimbo yenyewe yanayoimbwa na askari wa urusi ni hatari. Morali ipo juu sana na wakimuona kamera man wanamwita wapige picha taani wapo comfortable sana. Tanzania tuna jambo la kuiga hapa. Kuna kitengo kinaumiza na kufikilia mashambulio na kuna kikosi chenyewe kinaimba tu toka juzi hakifikilii wala kuwaza chenyewe kinasubilia Go ahead tu na ndio wanaolipua hukoWewe jamaa umenichekesha sana..
Yaani mzuka umepanda yaani hasikii wala haambiwi yaani..mbele kwa mbele yaani
Hahahaaa amechelewa.Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says
The Ukrainian president says Kiev has been left to fend for itself as NATO is “afraid” to give it any guarantees
File photo: Ukrainian President Volodymyr Zelensky, February 14, 2022. © AP Photo/Efrem Lukatsky
Accusing the West of leaving Ukraine to face Moscow alone, President Volodymyr Zelensky said on Friday he was not afraid to negotiate an end to the Russian “invasion,” but would need security guarantees to do so.
Speaking in the early hours of the morning from Kiev, Zelensky said he had reached out to “partners” in the West to tell them that Ukraine’s fate was at stake.
“I asked them – are you with us?” Zelensky said. “They answered that they are with us, but they don’t want to take us into the alliance. I’ve asked 27 leaders of Europe, if Ukraine will be in NATO, I’ve asked them directly – all are afraid and did not respond.”
“We were left by ourselves. Who is ready to go to war for us? Honestly, I don’t see anybody. Who is ready to give Ukraine guarantees of NATO membership? Honestly, everybody is afraid,” the president added.
Russia sent troops into Ukraine on Thursday, with President Vladimir Putin declaring a special military operation to “demilitarize and denazify” the country. Moscow has since told Kiev that it would consider negotiating with the Zelensky government if it agrees to discuss neutral status for the country, among other things.
In an address on Friday, Zelensky said he is open to talking about the possibility of a neutral status for Ukraine, but insisted that his country needs third-party guarantees.
“We are not not afraid of Russia, we are not afraid to talk with Russia, talk about everything: security guarantees for our country and a neutral status. But we are not in NATO now – what security guarantees will we have? Which countries will give them?” he said, before adding that there should be talks to bring an end to the Russian military offensive.
Kremlin spokesman Dmitry Peskov said on Thursday that “neutral status and rejection of hosting [offensive] weapons systems” are Putin’s “red lines” for Ukraine and that the ball was now in Kiev's court.
You can share this story on social media:
- 264
- 1
Kwa hiyo kwako kuvamia, kuiangusha serikali iliyopo madarakani, kuharibu kila kitu ikiwemo amani, kwa sababu ya uongo, halafu baadaye unatimka na kuiacha vurugu uliyoianzisha, ni sawa kwa sababu hukuifanya hiyo sehemu iwe sehemu ya nchi yako?mdogo wangu nyani na wewe umeingia mtego wa "maamuma"? unashabikia nchi huru kuvamiwa?
MAREKANI KWA MIAKA 300 ya uhuru imewahi kuiteka nchi na kuifanya sehemu yake? Iraq , Libya, somalia zimechukuliwa na kufanywa sehemu za USA?
URUSI wanavamia na kuteka nchi na kuzifanya sehemu zake, wewe upo hapo?
tatizo la Tz utapiamlo wa akili.
Tatizo ni kwamba watu walifurahia ISRAEL kushambulia PALESTINA ambapo waliliweka kwenye mlengo wa kidini.WAKRISTU duniani wanataka UKRAINE ilindwe bila vita, WAISLAMU duniani wanashabikia URUsi iipige ukraine na kuiangamiza, ni ipi dini bora? wapagani wafuate dini ipi?
ipi inataka amani na upatanisho, madhehebu hayo kwa Afrika Mashariki hayajaonyesha mrengo wowote.
Hope Russia nae ataondoa sio restance hii anayo kutana mayo.Mbona ni kawaida..
muulze marekani kwanini aliondoa wanajeshi wake somalia..
Tafadhali naomba ufunguke vizuri. Umeongea vitu vizito sana vya kiroho na hivyo inabidi uviweke wazi ili tuweze kuelewa na hiyo ndiyo itakuwa faida kwako na kwetu pia. Tafadhali naomba utufanunulie vizuri maelezo yako haya, yako kitaalamu mno kiroho!Take it from me, hakuna vita hapo!
Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora.
Mungu yule wa Gharika na Sodoma na Gomora ndiye yule yule ambaye tunaye sasa. Hajabadilika.
Amekuwa na subira kwa muda mrefu, sasa:"Enough is enough "