Yes, kama ukiangalia BBC ndio hovyo kabisa. Yaan kupitia mzozo huu ndio nimejua kumbe BBC ni sawa na TBC kwa hapa kwetu mapambio tupu na huwa upande wa Serikali muda woteOkay, thanks!
Kwahiyo, BBC,DW ,VOA hakuana kitu[emoji848]duh
Hivi unafuatilia haya mapigano. Hilo jeshi la Urusi mnaloliona linatisha mbona silioni? Urusi imepeleka special forces kufanya landing Kyiv mida ya mchana, Ukraine wamefanya counter attack wakiwa surrounded na Russia ameperform very poor. Nakwambia Urusi angekuwa amevamia Poland hapa tungekuwa tunashangaa
Ndugu yangu, mimi nime subscribe na kufollow account tofauti tofauti kuhusu hii vita na bahati nzuri zote za Ukraine.Vita sio mchezo kaka Russia nae ana isoma nambaView attachment 2130502
Duuh mkuu uko deep sana, pongez kwa kuwa logical minded.Tusipangie watu namna ya kuishi
Vita sio ya waeusi ni ya putin
Binafsi sipendi vita, na sipendi kuona mtu au nchi ikichukua uhuru wa nchi nyingine.mdogo wangu nyani na wewe umeingia mtego wa "maamuma"? unashabikia nchi huru kuvamiwa?
MAREKANI KWA MIAKA 300 ya uhuru imewahi kuiteka nchi na kuifanya sehemu yake? Iraq , Libya, somalia zimechukuliwa na kufanywa sehemu za USA?
URUSI wanavamia na kuteka nchi na kuzifanya sehemu zake, wewe upo hapo?
tatizo la Tz utapiamlo wa akili.
futa hii,WAKRISTU duniani wanataka UKRAINE ilindwe bila vita, WAISLAMU duniani wanashabikia URUsi iipige ukraine na kuiangamiza, ni ipi dini bora? wapagani wafuate dini ipi?
ipi inataka amani na upatanisho, madhehebu hayo kwa Afrika Mashariki hayajaonyesha mrengo wowote.
Si kwamba tunataka Ukraine ipigwe na Urusi.Tunachopendelea Ulaya na Marekani washindwe ndani ya Ardhi ya Ukraine.Tatizo ni kwamba watu walifurahia ISRAEL kushambulia PALESTINA ambapo waliliweka kwenye mlengo wa kidini.
Sasa huyo poland anasubiri nini kuingia vitani? Na msimsingizie poland, USA na wenzie waingie waone.Huyu Puttin ni chizi na mashabiki wake mtajionea muda si mrefu kuwa jamaa hamnazo.
Akiachwa, kesho atavamia nchi nyingine akihisi kuwa anaogopewa, ila watu wakikshiwa uvumilivu, basi tujiandae kwa vita ya tatu ya dunia siku moja huko mbeleni na Puttin akiwa ndio chanzo.
Poland akiingia vitani na mrusi, Marekani na mataifa mengine ya ulaya wataisadia Poland, na hapo ndio mgogoro utakuwa mkubwa zaid.