Hao Iran na Venezuela bado wamechafukwa mpaka sasa?
Na hatuna uhakika kama watakubaliana na sera za Waliberali.
IRAN
Iran wote tunakubaliana na Geopolitics inayoendelea kati yake na Israel.
Israel ambaye ni swahiba mkubwa wa Marekani. hivyo waondoe vikwazo kutoka kwa Iran bila kuhusu program yake ya nyuklia halafu aimalike kiuchumi, unategemea nini kwa Israel, hatoona marekani ni msaliti kwa ajili ya manufaa yake, je Israel watachukua hatua gani.
VENEZUERA
Na upande wa venezuela vile vile kuhusu na jinsi serikari yao walivyoingia kwenye mamlaka kwa namna isiyo halali, je Marekani yupo tayari kuwafungulia vikwazo ili wapate nafuu ya kiuchumi? je vipi mamilioni ya wapigania demokrasia waliowafadhiri, huoni litakuwa tusi na kusimika ule msemo maalufu kwamba Marekani hana msimamo na haaminiki.
Tutafakari