LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ni kawaida nyoka akiingia ndani lazima kuwe na utulivu,na kuanza kufanya mipango ya kumuua bila kuleta madhara kwa kuuma watoto ama watu wengine,kuepuka kuvunja vyombo wakati wa zoezi la kumuua .
Baada ya kuondoa vitu ndani na kuwaweka watoto na wazee mbali na nyumbani ndio kazi ya kumsaka na kumuua nyoka inaanza.
Sasa kazi imeanza.


14 AUG,
Russian forces carry out major strike on Ukrainian troops in Kursk Region — commander

Apty Alaudinov also said that the Ukrainian army would suffer irreparable losses carrying out military operations and trying to establish logistics routes in Russia

MOSCOW, The Russian Armed Forces have carried out a major strike on Ukrainian troops in the settlement of Martynovka in the Kursk Region, Apty Alaudinov, deputy chief of the Russian Armed Forces’ Main Military-Political Department and commander of the Akhmat special forces commando unit, told TASS.

"Their active advance has already been stopped and they are now trying to sneak into some areas. I would like to point out that we inflicted serious damage on them in the settlement of Martynovka, from where they had planned to move on," he told Channel One. "Now, they aren’t advancing; a large number of troops and equipment have been wiped out and the process continues," Alaudinov added.

He also said that the Ukrainian army would suffer irreparable losses carrying out military operations and trying to establish logistics routes in Russia. "This is what is currently happening," the commander concluded.
 
Wamezingirwa vibaya na wamekufa wengi
Sijui kama watatoka hapo
Hawawezi kutoka mkuu, Russia hawakushindwa kuwazuia mpakani endapo wangeamua.

Kwa hizi picha ambazo ni very graphic na watu wametolewa vichwa nina uhakika ni message kwa askari waliobaki wa NATO na Ukraine kwamba wasije kujaribu.

Nina imani hili ni pigo linalokwenda kushusha morali ya jeshi la Ukraine.

Russia amecheza karata yake vyema.
 
Kumbe nia ya wanajeshi wa Ukraine ilikuwa ni kuteka Nuclear Plant kwa kuwa blackmailed tangu jumapili ilyopita ila jaribio limefeli
Sasa wanasema nia yao sio kushikilia ardhi ya Russia
 
Duh Kumbe wamezibiwa Njia maweee
Mkuu somoche sisemi mengi.
Russian Forces Close to Encircling Ukrainian Troops in the Kursk Region

The Russian army is nearing the completion of its operation to encircle Ukrainian forces in the Kursk region.

According to Apti Alaudinov, Deputy Chief of the Main Military-Political Directorate of the Russian Armed Forces, the situation in the region is under the control of Russian forces. He stated, "The situation is under control. We are finishing the encirclement of the forces that entered the Kursk region and gradually closing all the gaps that were present."
 
Kulaaa vichwaaa Kimaa hao woote
Yaani uingie hapo utoke Salama???
 
Kwangu mimi naona dalili ya hii Vita kupiganwa zaidi ya miaka 5 mbele. Japo propaganda imekuwa nyingi sana.
Wale mateka wanaochukuliwa kila upande wanaweza kuteketezwa iwapo kila upande itaona wanapoteza zaidi.
 
Kumbe nia ya wanajeshi wa Ukraine ilikuwa ni kuteka Nuclear Plant kwa kuwa blackmailed tangu jumapili ilyopita ila jaribio limefeli
Sasa wanasema nia yao sio kushikilia ardhi ya Russia
Nia yao ilikuwa kuteka maeneo ya Russia kama Russia ilivyoteka maeneo ya Ukraine, referee wa mchezo ni US hivyo Trump akiingia madarakani ameapa kuimaliza hio vita kwa kumuita Ukraine na Russia meza moja...

Hivyo Ukraine anajaribu kuteka maeneo ya Russia ili kusudi hata vita ikisimama kuwe na option ya Russia kukubali kurudisha maeneo aliyoteka ya Ukraine kwa sababu Ukraiene pia imeichukua Kursk.

Hii issue ni kama Crimea 2014.
Na Russia kama superpower hakubali, ana mipango yake anayoijua mwenyewe.
 
Kwangu mimi naona dalili ya hii Vita kupiganwa zaidi ya miaka 5 mbele. Japo propaganda imekuwa nyingi sana.
Wale mateka wanaochukuliwa kila upande wanaweza kuteketezwa iwapo kila upande itaona wanapoteza zaidi.
Hii vita inategemea zaidi uchaguzi utakaotokea US nani anashinda...

Akishinda Trump vita inaisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…