TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
The ministry noted that 2,960 mercenaries arrived in Ukraine from Poland. The US was second with 1,113 "soldiers of fortune" and Georgia third ...Huo ushaidi kama ni wa uhakika kwa nini urusi asiutumie kama justification ya kuwashambulia NATO!
Kama Hivyo Basi kwanini hawajivamia Urusi maana waja mitambo ya Kujikinga na Urusi haina madhara kwao...! Lowasa aliwahi kusema nchi hii inahitaji Elimu Elimu Elimu
Akisha maliza nae anamalizwa.Marekani na washirika wake wamerudisha mkia matakoni maana hii vita ingekuwa ya Armargeddon, Russia amejiandaa kwa nuclear kumaliza biashara. Na Kiev ingewaka moto na kuyeyuka na majivu ya moto.
View: https://youtu.be/VBJ72lk1-fM?si=L51KVVBWff6NMqvC
S550 ndio kazi yake kutungua setilaitiAtazifikiaje hizo satellite. Ni vema mkajua umbali uliopo huko juu zilipo satellite. Labda afanikiwe kuharibu vituo vinavyoendesha hizo satellite
Unapenda sana kuwaambia wenzako Wana IQ ndogo.. sijui ujasiri huo unaupata wapi...hiyo niarrogance ...Binafsi huwa siwapendi arrogant people...wanaojifanya wao ni Bora kuliko wengine wakati wao wenyewe Hawana ubora huo..HUWEZI kunielewa kwakuwa IQ yako ni ndogo sana. Na huu ndio umbumbumbu wa waafrika wengi , hatuna uwezo wa kuchanganua taarifa. Yaani sisi maadam Russia au Marekani kasema hivi na vile na akaweka kwenye Google basi nikuamini 100%. .
Wake up Afrika
Ni wachache sana humu JF wenye IQ kubwa kama hii yako. Wengi humu wanapokea taarifa na kuziamini kama zilivyo. Yaani hata wakiambiwa kuwa Marekani au Russia wamepeleka Submarine angani au Mars wao watapokea hivyohivyo na ukiwabishia WANAKUONA WEWE HUNA ELIMU
Umejifunza kitu cha uongo, SMO imebakia tu hapa JF, Urusi mwenyewe kwa sasa anaita ni vita na Ukraine. Kwa akili za kawaida tu, SMO gani unahitaji kuzunguka duniani huko ukinunua silaha na kuajiri wapiganaji?Nimejifunza kitu hapa, SMO siyo Vita
Mkuu hivi kwa nini Ukraine havunji hili daraja la Crimea?Hayo makombora hayatasaidia chochote
Namshukuru sana Mungu. Akili kila mtu amepewa lakini ukiwa MVIVU kuitumia ndio unakuwa MJINGA KAMA WEWEUnapenda sana kuwaambia wenzako Wana IQ ndogo.. sijui ujasiri huo unaupata wapi...hiyo niarrogance ...Binafsi huwa siwapendi arrogant people...wanaojifanya wao ni Bora kuliko wengine wakati wao wenyewe Hawana ubora huo..
Ni SMO kwa maana aina ya askari,silaha zinzotumika na lengo la mashambulizi ni la SMO sio vita.Ikitangazwa vita utaowaona kwa wingi mstari wa mbele ni elite Russian forces,hakutakuwa na limitation ya matumizi ya silaha na malengo ya kupigana hayatakuwa tena kumdhoofisha adui ili akubali kujadiliana, bali kipigo cha kuogofya ili adui ajisalimishe.Na hapo ndipo utaona yale yaliyofanywa na Israel kwa Gaza yakitokea pia Ukraine.Umejifunza kitu cha uongo, SMO imebakia tu hapa JF, Urusi mwenyewe kwa sasa anaita ni vita na Ukraine. Kwa akili za kawaida tu, SMO gani unahitaji kuzunguka duniani huko ukinunua silaha na kuajiri wapiganaji?
Mara zote mweka vikwazo anakuwa anategemewa pakubwa na muwekewa vikwazo.Inakuwa kama adhabu ya kumshurutisha kutekeleza matakwa yenu.Collective west walijisahau ya kuwa na wao wanamuhitaji sana Russia kwenye maisha yao kila siku kiuchumi na kiusalama kama na yeye anavyowahitaji.Kwenye scenario kama hii ni ujinga kuweka vikwazo kwa sababu hata nyinyi mtaumia.Uchumi wa German umeporomoka kwa kiwango kikubwa kwa sababu ya kutumia expensive energy supplies kama mbadala wa Russian energy.Vikwazo vya kiuchumi ni vibaya sana mkuu wangu jaribu kuangalia miaka ijayo mbeleni, ziangalie nchi kama Venezuela, Syria nchi zenye utajiri wa mafuta bila vikwazo vya marekani zisingekuwa hapo zilipo, iangalie north Korea tokea 1950 baada ya kuwekewa vikwazo wao wameona nibora pesa zote ziende jeshini tu, hata kwa hapa Africa iangalie Zimbabwe, kaka vikwazo sio vya kuombea kabisa hata kwa hiyo marekani
Hajapewa idhini na NATOMkuu hivi kwa nini Ukraine havunji hili daraja la Crimea?
Kwani nani kakuambia Pro Ukraine ni adui zetu?Acha makasiriko, kakwambia nani mimi ni pro- Ukraine? Kwanini mtu akiongea ukweli kwa upande wenu mnamchukulia kama adui? Kama Urusi ameshaichukua Donbass yote kwahyo mapigano yapo mji gani kwasasa?
Ila umenichekesha uliposema ni wababe kinyama.Na ni wababe kinyamaπππππ.
Pale middle East nchi takriban zote zitakua upande wa Russia.
Asia pacific 90% ni pro Russia kwasababu ya China.
North Korea mama yanguuuπππππππππππ.
Dunia simama nishuke.
Ndugu Mimi wala wengi humu hatujasema Urusi haiathiriki wa watu wake hawafi ktk vita hii,hamna vita isiyo na Vifo.Will be NATO? Kwahiyo kama atakuwa isubirike baada yahapo akishambuliwa wakati nimwanachama wao ndio tutajua NATO wanamuogopa urusi kama hawatafata kanuni ya yao, sasa hivi unaona anachopewa ni msaada na wenye masharti tu ya wapi atumie, ila yeye ndiye anaekuwa anatishia kila kauli ya utumiaji wa nuclear,endapo Ukraine atashambulia ndani ya Urusi hiyo itakuwa judgment day, endapo NATO watamsaidia Ukraine silaha zinazopiga ndani ya Urusi basi itahesabika hiyo nchi imeshiriki mojakwamoja na itapata kipigo kikali, jee hayo hayajafanyika? Mbona kama ni mbabe hatumi makombora new York na washirika wengine na wakati Urusi anajua kama Ukraine anapewa makombora ya lnayopiga nchini kwake.
Tuacheni mahaba kila mmoja anapata hasara kubwa kwa wote kati ya Urusi na Ukraine.
.
Kinachowabeba hao jamaa ni kila vita wanayopigana wao wanaamini kufia imani.Ila umenichekesha uliposema ni wababe kinyama.
Umenikumbusha Wa Houth,aisee Hawa wahuni waache kabisa,Hawa Mimi nawafananisha na honey badger π¦‘,huyu mnyama ni mdogo kwa umbo lkn mtata balaa,haogopi na ,Kuna kipindi hua anakimbiza Simba na chui.
Yaani Houth Hadi Urusi kawakubali,mambo waliyowafanyia west hata Urusi na china hawajafanya Yaani Hawa wakiwezeshwq watatisha.
Hawa akili zao hazitofaitiani sana na watalaban,maana wote ni manunda.
Watalaban nao hawatishiwi na adui yoyote,hawaogopi umbo la adui.
Njoo kwa wavietnam,hawa ni Mbwa wa vita,roho ya paka,Hawa ni no retreat no surrender fighters.
Najaribu kuangalia kama wakiwa upande wa Urusi Hali itakuaje.
Angalau huyu amejaribu kubuni kitu tofauti.