LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Trump kamchagua Mike Waltz kuwa national security advisor.
Msimamo wake ni kuwe na limited support kwa Ukraine,
Rubio kuwa Secretary of state, yeye msimamo wake ni kumaliza vita. haiwezi kuwa habari nzuri kwa Zelensky
Hakuna anayetamani kuona watu wakifa mkuu, kila mtu anataka vita iishe,swali ni vinaisha kwa conditions zipo
 
Hakuna anayetamani kuona watu wakifa mkuu, kila mtu anataka vita iishe,swali ni vinaisha kwa conditions zipo
Usiseme hakuna anayetamani kufa, jisemee wewe
Unahisi Military industrial complex wanataka vita viwepo back to back ili wafanye business, na ndio maana wao na phermaceutical wanaongoza kwa mapata
War profiteer hawataki vita iishe, maana ndio sehemu rahisi ya kula na less audit query
 
😂😂😂😂😂😂Hawa German si ndo ambao wamefulia?
 
Jamaa wanazidi kusonga mbele,hii ni jana.

1) Russian forces recently advanced during two company-sized mechanized assaults within and south of Kurakhove in western Donetsk Oblast.

2) Russian forces recently advanced near Toretsk and Kurakhove and in Kursk Oblast.

November 12, 2024, 6:15 pm ET


 
Halafu hawaamini wanachokiona! Wanajiuliza hawa wanajeshi wote wanatoka wapi!

Recent Western and Ukrainian estimates about the size of the Russian force grouping in Kursk Oblast do not represent a significant inflection, as Russian forces have spent several months gathering forces for a future counteroffensive effort to expel Ukrainian forces from Russian territory.

November 12, 2024, 6:15 pm ET


 
Kisha wanaandaa shambulio kubwa!

Ukrainian military officials warned that Russian forces may intensify assaults in Zaporizhia Oblast in the near future.

November 12, 2024, 6:15 pm ET


 
Hapa offensive tayari imeanza, nadhani Russia wanataka na hili jimbo
 
Watu wanasema mchina anatoa vitu feki,cheki mrusi naye!

Surge in Russian drone strikes test Ukrainian defences and devastate families​

Russia is massively increasing drone strikes on Ukraine. More than 2,000 were launched in October, according to Ukraine’s general staff - a record number in this war.

Russia has also started to launch fake drones,
without any explosives, to confuse Ukraine’s air defence units and force them to waste ammunition.

 
Tutazidi kuwachinja tu☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️

Hii ni Jana,1700 🥱🥱🥱
 


Former U.K. Prime Minister Boris Johnson warned that the U.K. may need to send troops to Ukraine if U.S. support or military funding is reduced, GB News reported on Nov. 12.

Johnson emphasized the importance of British support for Ukraine, noting that "otherwise, our collective security will be really degraded by a resurgent Russia."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…