The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
🤣🤣Unaota baada ya shibe ya Ubwabwa maharage. NATO ndo Marekani, hakuna NATO nje ya Marekani. Siku marekani akisema anatoka NATO ndo imeisha hiyo. Marekani alichofanya ni kuyakusanya makoloni yake ndani kapu moja akaliita NATO.
hizi hekaya zako za Kisabato hebu achana nazo.
Kumbe ulisoma mahali , Achana na hizo simulizi dini hazina chochote ambacho inafanya katika kuiendeaha dunia kinacho endesha Dunia ni Mataifa yenye nguvu ya kiuchumi kijeshi na kisiasa pamoja na Sera zao , ndio maana mataifa hayo yanaweza kuamua Leo tuipige Tanzania tumtoe Raisi madarakani na wakafanya hivyo wakati mataifa hayo yanafanya hivyo huyu Mungu Muweza wa yote anaye sifiwa ktk dini Anakuwa yupo Tu ana Angalia Jinsi Tanzania inavyo onewa , Dini ni scammerNi wazo zuri maana humu tunaelimishana mimi pia nimesoma mahali siwez kushupalia sana vitu ambavyo hata mimi sijui tuchangamshe jukwaa tuu siku ipite
Sasa mkopo wakati nchi haina kitu unacho zalisha Kwa sasa iko vitani siwataifilisi Ukraine yoteInfact pamoja na vikwazo vyote vya NATO lengo la Russia linaenda kutimia.
West wamekata tamaa kutoa misaada ambayo haisaidii, angalau US anajikongoja kutoa msaada wenye masharti ya mkopo.
Hakunaga urafiki baina ya Nchi na nchi zinazo taka kutawala dunia , Maana mmoja anapokusa super power zaidi ya mwingine means lazima atacheza rafu ili mwingine asiwe Juu yake , unapo kuwa Juu ya mwenzio tafsiri yake ni lazima utataka kumtawala mwenzio hapo ndio balaa linapo anziaUrusi na Marekani hawana kujuan hivyo.
Makubaliano Yao ni pale TU anaangalia maslahi yake.
Lakini hawa ni mahasimu kweli kweli.
Kila mmoja anamuombea mabaya mwenzie.
🤣Oreshnik inatua lini Kyiv, kelele zimezidi jukwaani
“Zelensky does not need 630 Ukrainian citizens who were captured. He abandoned them,” Foreign Ministry spokeswoman Maria Zakharova commented on the publication at that time.Looking ahead to 2025, Latvia plans to allocate €20 million for UAV purchases as part of the drone coalition initiative.
Ulikua umetitia huko mtimbila kwenye majaruba ya mpunga?. Maana huko naskia mvua Ina mwagika tuNipeni update maana sikuwepo muda sana, naskia vile vijitu vifupi toka Korea vinafyekwa ni balaa
Huyu Gaidi waliempachika Syria hata suti hajawahi kuvaa..Hawa watu washenzi.sanaMore than 20 trucks with the first 500 tons of Ukrainian flour will arrive in Syria tomorrow. This flour will be distributed free of charge to Syrian families, the head of the Ukrainian Foreign Ministry said at a briefing in SyriaView attachment 3188623
Babaaa babaaa bila kilimo maisha ya mjini hayawezi kusogea, nalima ili nije kuwalisha nyie wapiga dili wa mjini.Ulikua umetitia huko mtimbila kwenye majaruba ya mpunga?. Maana huko naskia mvua Ina mwagika tu
Nzuri mzee tuendelee kuijenga nchiBabaaa babaaa bila kilimo maisha ya mjini hayawezi kusogea, nalima ili nike kuwalisha nyie wapiga dili wa mjini.
Baba tunaijemga nchi kweli ila Kilimo na dili bora dili kaka- huku ni pata potea.Nzuri mzee tuendelee kuijenga nchi
Kuna majirani wamemwambia akigoma kusaini wanamkatia umeme🤣🤣🤣🤣🤣 Kmmk
Zawadi ya mwaka mpya kwa zelensky na vipanya wenzie.Muda wowote.............Orshenik!!!!!!!!!!!!!!!!!!
View: https://x.com/worldupdates245/status/1873835090704556060