Thubutu Africa Ipi hii ya Kina MwijakuViongozi wa Afrika waone fahari kupanbania mataifa hao hata kama ni underdog
Oneni huyu mgagikoko!! 👆Hata akicheka ila hashindi hii vita nakwambia
Wamegombana live kwenye Al Jazeera hadi aibu,zelensky amefukuzwa white house kama kibaka🤣🤣Trump, Zelensky press conference canceled — CNN
Zelensky anazo njia mbili tu.. Moja atoe madini au arudishe fedha na misaada yote aliyopewa na USA.Trump ni mpuuzi kashindwa kumconvince Zele achukue madini anaanza kupiga mkwara.
Nadhani akili zako zipo chini ya kiuno chako.Hapa nazungumzia wazungu kwa wazungu yaani wenyewe kwa wenyewe.Hili lipo wazi tangu babu yako hajazaliwa... Kama ndio unajua leo basi una ubongo mdogo sana
Kuna muda Trump alitaka kumzodoa.Katia huruma sana.
Funzo kubwa hapo ni kuacha utegemezi.
Kafokewa kiaina na Trump.
Dah!
Ndo maana ni muhimu sana kujitegemea.Kuna muda Trump alitaka kumzodoa.
Ukiwa na kiburi na ukawa na hela huadhiriki
No US,no NATO, no NATO,no Europe get that?Zele kamuweza Trump, kamdindia, wacha tuone nini kinafuata baada ya hii ya leo, je ndo mwanzo wa mashambulizi yasiyo na kikomo au mapinduzi ya Zele?
Ngoja tuone mbio za UK na France zitakakoishia.No US,no NATO, no NATO,no Europe get that?
Mambo mengi kwa kweli.Dharau ilianzia hapa akipokelewa.
View: https://x.com/Alex_Oloyede2/status/1895517363883401635?t=o9zAOYazBO143e6Gtl9B7Q&s=19
YesZelensky anazo njia mbili tu.. Moja atoe madini au arudishe fedha na misaada yote aliyopewa na USA.
Vance kachomekea eti Zele Oktoba mwaka jana alikwenda US akasaidia kampeni ya Kamala. Nadhani hii ndio chanzo cha hasira zao kwa Zele.JD ni mchonganishi sana, ukiangalia kiundani yeye ndo kama amesababisha hii vita ya leo, Trump kama alikua na staha fulani ya kiutu uzima ila Vance alikua anajitahidi sana kumchokonoa Zelensky mpaka nae busara ikamshinda akaamua kuanza kuropoka, na upande wa pili alijua kabisa kuna vitu akiongea lazima mashetani ya bosi wake yapande.