MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
BREAKING NEWS
Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.
View attachment 2143615
Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.