green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Na ameshawambia anazisubiri F 16 azichome motoWalitegemea mrusi apagawe ndo aanze kutumia vitu vyake vipya, badala yake wamepagawa wao,, yale mavifaru yao waliyokua wanayasifia mrusi kayafumua yote ,walete tena vitu vipya jamaa avifumue,,,kikinuka zaidi ndo yeye awaonyeshe maajabu yake
Aibu ilioje.Na ameshawambia anazisubiri F 16 azichome moto
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔨Hii kitu inauma sana aisee,asikuambie mtu.
Yaani silaha Yako Bora kabisa inakamatwa na adui Yako halafu anaifanyia uchunguzi inauma sana aisee.
🤣 Hiyo storm Shadow Sasa imeshakua useless mchina anaenda kuitoa kwa gharama nafuu kila mtu apateHiyo subiria copy zake toka Iran na N Korea mabingwa WA reverse engineering
Hata sisi huku Tanganyika tutapewa kwa gharama nafuu sana,Wakikuyu wakituletea za kuleta tunawatwanga mchana kweupe.🤣 Hiyo storm Shadow Sasa imeshakua useless mchina anaenda kuitoa kwa gharama nafuu kila mtu apate
Kama upo kwy muvi vile unavyoongeaWalitegemea mrusi apagawe ndo aanze kutumia vitu vyake vipya, badala yake wamepagawa wao,, yale mavifaru yao waliyokua wanayasifia mrusi kayafumua yote ,walete tena vitu vipya jamaa avifumue,,,kikinuka zaidi ndo yeye awaonyeshe maajabu yake
Karibu kakongoliro prodakshenzKama upo kwy muvi vile unavyoongea
Tubadili jembe la mkono kwanza haya mengine baada ya miaka 100 maana jembe ni 500 years tangu litengenezweHata sisi huku Tanganyika tutapewa kwa gharama nafuu sana,Wakikuyu wakituletea za kuleta tunawatwanga mchana kweupe.