Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Siyo kweli. Yule ni mahiri kwa vyote.Wewe unazungumzia namna ya kusoma hotuba au kutoahotuba mwenyewe?
Obama ana uwezo mzuri wa kudeliver a.k.a kusoma speech lakini sidhani kama ana uwezo mzuri wa impromptu speech
Unaweza kuwataja wengine?Obama ni kati ya top 3 best orators/public speakers kati ya marais wote wa Marekani.
Huyu jamaa ukimsikiliza na ukisikiliza wanasiasa wengine, ni mbingu na ardhi. Bongo ukimtoa Nyerere, ni mwanasiasa gani mwingine alikuwa na hotuba
Kamuua nani??Sijawahi kumkubali obama nasijawahi kuwakubali marais wote wamarekani tokea nianze kuwajua
Ila ukianza kuwaangalia kina bush ukija kwahawa makatuni waliopo sasa trump na biden na hata huyu mgombea kamala
Naukiangalia hata viongozi wengine duniani obama ukimpa jukwaa analitendea haki
Jamaa akiongea anaongea hasa anapangilia hasa
Ila ni mshenzi na muuaji tu kama wauaji wengine mbwa mkubwa huyo jamaa
Kauna na anaendelea kuua mamilioni ya raia wa Libya na IraqKamuua nani??
ndege JOHN njoo usikie stories nyingine huku
Abraham Lincoln nafikiri ndiyo anaongoza maana misemo yake mingi inatumika mpaka leoJohn F Kennedy
Ronald Reagan
FDR