SPEED km/h.

SPEED km/h.

Osei Tz

Member
Joined
Sep 20, 2018
Posts
96
Reaction score
79
assume pikpik inatembea 80km/h, gari nalo linatembea 80km/h...Je, kuna uwezekano qari likafika mapema au kuiacha pikpik?
note: safar si ndefu mfano urefu wa 10km.
wataalam naomben majib mana tumebishan san hii mada.
 
Kama vitatembea speed hio hio basi vitafika muda sawa..
Hata mimi niliku nafaham hivyo, lkn nikabishiwa sana na watu wenqi kua hata kama speed itasoma sawa qari ina power kubwa so pikpk itaachwa tu.
 
Hivi kilo moja ya mawe na kilo moja ya pamba hipi ni nzito?!?!
hahhahaa kaka hata mimi niliwauliz hili swali. nikaishiw point sabab wawil kati yao wanamilik maqar xo wakatoa evidence kwamba hata maqari mawili yakitembea speed sawa eti lazima moja litatanqulia zaid kutokana na utafaut wa ukubwa wa tairi, injini n.k
 
naomba jibu lako mkuu mana nataka nitumie hiz data kwenda kuanzisha tena mjadala.
kama pikipiki inatembea 80 na gari 80 hakuna itakayopita mwenzake.

labda kwenye kuanza mwendo itakayoanza kuchanganya ndio itafika mapema lkn kama zinaondoka kwa pamoja zitamaliza pamoja
 
kwa kifupi kabisa hawawezi kufika sawa kutokana na sababu zifuatazo:
1.Air resistance:Kuna mmoja hapo air resistance ni kubwa kuliko mwingine kwa hiyo atachelewa kufika
2.Ukubwa wa matairi:Kuna mmoja hapo tairi ni kubwa kuliko mwingine
 
Kama vitatembea speed hio hio basi vitafika muda sawa..
Waambie waache ujinga ..
Ingekuwa ni hivyo matrafic barabarani si wangekuwa na tochi za aina mbili...za gari kubwa na ndogo.
Hivi kilo moja ya mawe na kilo moja ya pamba hipi ni nzito?!?!
kama pikipiki inatembea 80 na gari 80 hakuna itakayopita mwenzake.

labda kwenye kuanza mwendo itakayoanza kuchanganya ndio itafika mapema lkn kama zinaondoka kwa pamoja zitamaliza pamoja
You are wrong my friends,kuna mmoja hapo air resistance ni kubwa kuliko mwingine kwa hiyo atachelewa kufika!!
 
  • Thanks
Reactions: Obe
You are wrong my friends,kuna mmoja hapo air resistance ni kubwa kuliko mwingine kwa hiyo atachelewa kufika!!
Ukifanya math effect ya air resistance ni ndogo kiasi kwamba effect yake ni negligible..
Kwahio vyombo vitafika muda sawa
 
Ukifanya math effect ya air resistance ni ndogo kiasi kwamba effect yake ni negligible..
Kwahio vyombo vitafika muda sawa
Wala,ndiyo maana kwa mfano pikipiki ukiendesha speed kubwa mfano kuanzia 100km/hr huwa inaanza kuhama barabara,maana yake air resistance ina effect kubwa!!
 
Unahama barabara lakini haimaanishi ile speed 100 inachange na kuwa 98 au less
Mkuu soma hapa utapata mwanga kidogo,pia fungua hiyo link kwa maelezo zaidi ya kitaalam,hapa nimeweka kipande kidogo cha maelezo kutoka kwenye website husika:

Are you asking why the car accelerates faster than the bike at the same speed?
It's because the car's engine has a lot more power than the legs of the biker. The car is likely to have over 100 horse power while the biker doesn't have even 1. Not to mention the torque difference.The car is easily 100x more powerful than the biker.

Source:How the car overtakes a bike when both are travelling at a same speed?
 
  • Thanks
Reactions: Obe
assume pikpik inatembea 80km/h, gari nalo linatembea 80km/h...Je, kuna uwezekano qari likafika mapema au kuiacha pikpik?
note: safar si ndefu mfano urefu wa 10km.
wataalam naomben majib mana tumebishan san hii mada.
Majibu yote ni sawa kulingana na utakavo litetea jibu lako.
 
hahhahaa kaka hata mimi niliwauliz hili swali. nikaishiw point sabab wawil kati yao wanamilik maqar xo wakatoa evidence kwamba hata maqari mawili yakitembea speed sawa eti lazima moja litatanqulia zaid kutokana na utafaut wa ukubwa wa tairi, injini n.k
Waulize vipi juhusu ndege? Hazina matairu zinapokua angani, je ndege kubwa na ndogo kwa same speed zitatofautiana?

Wakiendelea kubisha waambie warudi kwao Kigoma.
 
kwa kifupi kabisa hawawezi kufika sawa kutokana na sababu zifuatazo:
1.Air resistance:Kuna mmoja hapo air resistance ni kubwa kuliko mwingine kwa hiyo atachelewa kufika
2.Ukubwa wa matairi:Kuna mmoja hapo tairi ni kubwa kuliko mwingine


...lakini kuna suala la aina ya mafuta (gas) je ni vyombo hivi vinatumia mafuta ya aina moja, diesel au petrol? Kuna suala la RPM hapa pia, je zipo sawa kwa vyombo hivi vinavyoshindanishwa.
Nimeandika tu kama dereva mwanafunzi na wala sina ufahamu mkubwa wa magari
 
Back
Top Bottom