SpeedAf, Mkombozi kwa wanyonge

SpeedAf, Mkombozi kwa wanyonge

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2020
Posts
1,611
Reaction score
2,881
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana.

Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama sijakosea, kwa uzoefu niliokua nao zamani ulikua ukitumia njia hii kwa usafiri, jiandae kusubiri miezi 3-mwaka au forever and ever, amen.

Ila kwa ujio wa SpeedAf hii ni mara ya pili naagiza parcel zangu na zinanifikia in less than 3 weeks.
Mzigo wangu nilioagiza tar 5/09/2023 umefika leo tar 18/09/2023. na hapo seller hakutuma mzigo siku hiyo hiyo, alituma tar 07/09/2023.
So ukitoa hapo utaona mzigo umetumia siku 11 tu, katika transport, na ingepita posta kama zamani kuna elfu 5 yao hapo kama sikosei lazima uwape hata uagize pilitoni.

NB: Vi parcel ninavyoagiza ni vidogo sana, vifaa vya PC na kadhalika, nna siku sijatumia AliExpress standard Shipping, so sjajua kama na yenyewe hua inapitia SpeedAf au ni posta(kwa mchawi mwenyewe).
IMG_20230918_144033_1.jpg
 
Kwa sasa nna mpango wa kuja kujaribu kuagiza kitu from Alibaba au masoko ya ndani ya China, nataka shipping method nije nitumie meli, wazoefu mnipe ABC za hii kitu.
 
You can say that again
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana.

Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama sijakosea, kwa uzoefu niliokua nao zamani ulikua ukitumia njia hii kwa usafiri, jiandae kusubiri miezi 3-mwaka au forever and ever, amen.

Ila kwa ujio wa SpeedAf hii ni mara ya pili naagiza parcel zangu na zinanifikia in less than 3 weeks.
Mzigo wangu nilioagiza tar 5/09/2023 umefika leo tar 18/09/2023. na hapo seller hakutuma mzigo siku hiyo hiyo, alituma tar 07/09/2023.
So ukitoa hapo utaona mzigo umetumia siku 11 tu, katika transport, na ingepita posta kama zamani kuna elfu 5 yao hapo kama sikosei lazima uwape hata uagize pilitoni.

NB: Vi parcel ninavyoagiza ni vidogo sana, vifaa vya PC na kadhalika, nna siku sijatumia AliExpress standard Shipping, so sjajua kama na yenyewe hua inapitia SpeedAf au ni posta(kwa mchawi mwenyewe).View attachment 2753543
 
Free shipping na ile cainiao ndo huwa natumia inakuja na speedaf ile standard shipping sijawahi tumia
Wapo...

Shipoing method usichague ile sijui super economy au free shipping maana hizi mara nyingi mzigo hupitishwa posta...
 
Free shipping na ile cainiao ndo huwa natumia inakuja na speedaf ile standard shipping sijawahi tumia

Hizo siku hizi ukitumia jamaa wanaupeleka posta na huko jamaa wana makato yao kutegemea na aina ya mzigo...

Kuna mizigo mingine TRA nao wanakuja panga lao...
 
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana.

Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama sijakosea, kwa uzoefu niliokua nao zamani ulikua ukitumia njia hii kwa usafiri, jiandae kusubiri miezi 3-mwaka au forever and ever, amen.

Ila kwa ujio wa SpeedAf hii ni mara ya pili naagiza parcel zangu na zinanifikia in less than 3 weeks.
Mzigo wangu nilioagiza tar 5/09/2023 umefika leo tar 18/09/2023. na hapo seller hakutuma mzigo siku hiyo hiyo, alituma tar 07/09/2023.
So ukitoa hapo utaona mzigo umetumia siku 11 tu, katika transport, na ingepita posta kama zamani kuna elfu 5 yao hapo kama sikosei lazima uwape hata uagize pilitoni.

NB: Vi parcel ninavyoagiza ni vidogo sana, vifaa vya PC na kadhalika, nna siku sijatumia AliExpress standard Shipping, so sjajua kama na yenyewe hua inapitia SpeedAf au ni posta(kwa mchawi mwenyewe).View attachment 2753543
Wako vyema sana. Hai jamaa..

Ila kuna kaparcel naona kamefika bongo. Nilipompigia jamaa wa speedaf akaniambia huo mzigo umepitia posta.

Embu nisaidie mkuu naupataje happo posta?
 
Back
Top Bottom