Speedaf wana changamoto gani?

Speedaf wana changamoto gani?

nyumbani kwenu

Senior Member
Joined
Aug 11, 2020
Posts
152
Reaction score
152
Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces zote za clearence, lakin ndege bado haijatoka airport tangu tareh 21/6/24.

Kuna yeyote anapitia changamoto kama ya kwangu, hawa jamaa sio kawaida yao mzigo kukaa muda mrefu hivi airport, au wamezidiwa na wateja?
 
Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces zote za clearence, lakin ndege bado haijatoka airport tangu tareh 21/6/24.

Kuna yeyote anapitia changamoto kama ya kwangu, hawa jamaa sio kawaida yao mzigo kukaa muda mrefu hivi airport, au wamezidiwa na wateja?
Bado wako ontime sana mpka leo ni siku 18 hivi relax haya mambo ya online purchase yanataka uvumilivu
 
Bado wako ontime sana mpka leo ni siku 18 hivi relax haya mambo ya online purchase yanataka uvumilivu
ni kwel bado wako ontime lakin sio kama previous package nilizoagiza, zilikua zinatumia 2weeks only had kunifikia.na sio kwamba naona wamechelewa ila nahisi kutakua na changamoto tu
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-221143~2.jpg
    Screenshot_20240703-221143~2.jpg
    100.3 KB · Views: 18
Changamoto hio ndio iliomufanya hadi ufungue uzi mkuu,tracking system zao zinakupa detailz zipi zinazokupa mashaka mpka uyaseme hayo
ni kwel bado wako ontime lakin sio kama previous package nilizoagiza, zilikua zinatumia 2weeks only had kunifikia.na sio kwamba naona wamechelewa ila nahisi kutakua na changamoto tu
 
Changamoto hio ndio iliomufanya hadi ufungue uzi mkuu,tracking system zao zinakupa detailz zipi zinazokupa mashaka mpka uyaseme hayo
asante sana mkuu, tracking ni kama inavyoonesha hapa, tangu tareh 21/6, mzigo ulishamaliza process za clearence, tayar kwa kuanza safar ya kuja tz,lakin tangu tarehe iyo mzigo umestack, had leo haujatoka airpot, na nina mizigo kama mitatu hivi nilifanya order same day yote imestack airport,kwa uzoefu wangu ikifika hatua iyo not more than 3days ndege inaanza safar
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-221143~2.jpg
    Screenshot_20240703-221143~2.jpg
    100.3 KB · Views: 19
Hata mm hivyo hivyo wanasema we can track package in destination country,,, mm ninamizigo 2 daah
 
Hata mm hivyo hivyo wanasema we can track package in destination country,,, mm ninamizigo 2 daah
sijui kutakua na changamoto gan, nilijaribu kuwasiliana nao hawatoa majibu ya kuridhisha wanasema nisubiri tu
 
Tulia mzigo utakufikia tu, kuna muda wanakua wanasubiri mizigo ya watu wengine ili ijae kidogo. Ndege ikiondoka unapata baada ya kama wiki moja hadi na nusu.
 
ni kwel bado wako ontime lakin sio kama previous package nilizoagiza, zilikua zinatumia 2weeks only had kunifikia.na sio kwamba naona wamechelewa ila nahisi kutakua na changamoto tu
Nimeagiza hata mimi,lakini sina hofu najua mzigo utafika tu
 
Sorry mkuu,utaratubu wao wa kupata mzgo ukoje hasa kwa sisi tulio mikoani?
 
Sorry mkuu,utaratubu wao wa kupata mzgo ukoje hasa kwa sisi tulio mikoani?
kila mkoa kuna wakala,lakin baadhi ya mikoa kuna ofisi, mzigo ukishafika kwa wakala wa mkoa wako atakupigia simu uende ukachukue mzigo wako.
 
Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces zote za clearence, lakin ndege bado haijatoka airport tangu tareh 21/6/24.

Kuna yeyote anapitia changamoto kama ya kwangu, hawa jamaa sio kawaida yao mzigo kukaa muda mrefu hivi airport, au wamezidiwa na wateja?
Toka tarehe 29/07 umefika lakini kimya mpaka sasa
 
Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces zote za clearence, lakin ndege bado haijatoka airport tangu tareh 21/6/24.

Kuna yeyote anapitia changamoto kama ya kwangu, hawa jamaa sio kawaida yao mzigo kukaa muda mrefu hivi airport, au wamezidiwa na wateja?
Mm wa kwangu toka tarehe 29/07 umefika Tz lkn mpaka leo sijui upo wap
 
Back
Top Bottom