Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
waweke movie za pono, kupigia nyeto hospital sio rahisi sana!manii yanapaswa kutolewa saa moja kabla ya kupimwa hivyo kama nyumbani ni karibu unaweza kutolea nyumbani ila kuna hospitali moja nilienda kupima kuna chumba kimetengwa kiko jirani na maabara,
waweke movie za pono, kupigia nyeto hospital sio rahisi sana!
Sex/nyeto inapaswa itekelezwe secretly , ikishakuja habari ya kutekeleza kwa maelekezo fulani ubongo unashindwa kutoa ushirikiano wote!kama vipi unaweza kwenda na mwenza wako,unapiga mzigo wazee wakita kutoka unaekezea kwenye ki container
Mbona kazi ndogo sana iyo mkuuSasa hamu ya kupiga punyeto hospital naipataje asee
Kama unaumwa utaipata tuu.Sasa hamu ya kupiga punyeto hospital naipataje asee
Kwa hiyo hamjapata mtoto mpaka Leo?Mi na wife tulikaa kwa muda mrefu bila matokeo kupatikana ndo ilibidi tuende hospitali kujua nini tatatizo, ila kwangu ilionekana niko sana, yeye tu ndo kulikuwa na tatizo kidiogo
Sasa hiyo punyeto bila mate wala Mafuta atapigaje Mkuu?Zoezi LA kutoa sperm kwa ajili ya kupima lina utaratibu wake .
Utatoa sperm kwa kupiga punyeto
Huruhusiwi kuweka mate,mafuta wala sabuni
Huruhusiw kushiriki na mke
Ukifanya hayo sperm zitakufa hautapata majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali Chekeshi.....Sasa hamu ya kupiga punyeto hospital naipataje asee