Sperm test

Mbona umeshajichagulia kipimo cha kujipima kwenye title yako wakati haujajua bado tatizo linaanzia wapi mkuu!?
 
Mimi nadhani ingekuwa vizuri sana ukaenda hospitali ya Rufaa Mbeya kisha ukaonana na wataalamu wakawafanyia uchunguzi ili kama wakishindwa wakupe barua ya rufaa kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi, ninaamini kwamba hata hospitali ya Rufaa Mbeya ina wataalamu wa kutosha na itakupunguzia usumbufu na gharama.
 

ahsante kwa ushaur mkuu ngoja nijipange niende rufaa
 
mbeya hamna hospitali ya kucheki hilo tatizo lako brother. Nenda TMJ hospital au Regency hospital kaka. pole sana, Mungu atawasaidia tu.
 
Hospitali kama Aga Khan, Regency ndiyo nazifahamu.
 
pole mkuu nakutakia mafanikio mema ila hili la uzazi naona limeshaanza kuwa janga kwa taifa sijui dawa za majira ua chakula tunachokula. Lakini elewa pia mwaka mmoja inabidi uvute subira kwanza ni muda mfupi sana kwa wanandoa kuhofia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…