mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Ha ha ha yuko hoi kama sio yeye
Mungu ambarikiChubby chubbyView attachment 1930900
Ndio mkuu niliwabaatisha nikiwa huku kwenye vijiji vya wagogoJando hii
Wagogo
Hapana, Sudan.Somalia?
Nyota njemaaa.....?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kidume ni kidume tu haijalishi umri.View attachment 1851428
Hii stori huwa hainitoki kichwani aisee. Nilisoma makala fulani kuhusu aliyepiga picha hii-- alikufa kifo cha kutatanisha. Taarifa zisizothibitishwa zinadai alijiua baada ya nafsi kumsuta kwa kitendo hiki. Wengine wanadai maneno mengi toka kwa wakosoaji yakamvuruga na kusababisha kujiua. Wakosoaji wanadai alikuwa yupo kimaslahi zaidi, yani kuchukua picha za kutamausha kama hizi na kuziuza kwenye media za kimataifa kupata fedha. Wanaongeza kuwa hata kama alimsaidia huyu mtoto, picha haioneshi kumsaidia mtoto,bali inamuongezea jamaa utajiri kwa kuiuza ghali zaidi.
Wakwetu wanacheza na matopeWanafundishwa vitu umri huu,baadae wanakuja kwenye Olympic wanafanya vitu tunaona wazungu wachawi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]View attachment 1934320