duuu Hii Kali mkuu,umemwona huyo nigga hapo nyuma na Hilo pozi lake kweli mtoto wa nyoka sio kenge Aiseee
Aisee!!? Ila watu wametoka mbali tusione leo hii wanamaendeleo kutuzid nao walipitia mengi.
Hiki kizaz cha sasa na kile cha kishua cha enzi hizo ambao mvua ikinyesha wanaambiwa kaa ndan usije ugua kifua, hawajui ata hao wanafanya nini.