Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 683
- 782
Mimi ni shabiki kindakindaki na mwanachama aliyetukuka wa Simba Sports Club.
Nikiwa kama shabiki na mwanachama wa Club yetu pendwa ningependa kuwa wakala wa kuuza jezi na kugawa kadi mpya za Simba huku mkoani kwetu.
Kama kuna mwenye kufahamu utaratibu wa kuwa wakala wa Club yetu pendwa namuomba anipe muongozo ili tuzidi kuipeleka Club yetu level za kimataifa kwa pamoja.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa kama shabiki na mwanachama wa Club yetu pendwa ningependa kuwa wakala wa kuuza jezi na kugawa kadi mpya za Simba huku mkoani kwetu.
Kama kuna mwenye kufahamu utaratibu wa kuwa wakala wa Club yetu pendwa namuomba anipe muongozo ili tuzidi kuipeleka Club yetu level za kimataifa kwa pamoja.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app