Washalala WaarabKiwango cha Africa kusini siku ya leo ni tishio sana. Shoots on targets, shoots offtarget, speed, possession nk
Vijana wa bondeni wanasakata kandanda utadhani Club zinacheza. Timu inauelewano mkubwa sana as if wamekuwa pamoja mwaka mzima wakijifua.
Kila la kheri SA
Jana hakuonekana uwanjaniKwani Salah salah hakucheza?
nilimwelewa sana yule beki kisiki aliyekuwa anamdhibiti salaJana hakuonekana uwanjani
Bongani Zulunilimwelewa sana yule beki kisiki aliyekuwa anamdhibiti sala
anachezea club gani? jamaa anakaba kwa akili, sala alikuwa anaonekana mcheza foul!Bongani Zulu
Leo vijana ba kongo bamecheza Ndombolo kwa kiwanja.Jana hakuonekana uwanjani