Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

 
Japo na mimi pia ni binadamu na kuna maeneo nilitumia lugha isiyo faa, ila kiukweli baada ya kuitwa huku, nilibadilika na kuwa mzalendo zaidi, hii ya kuitana na kuhojiwa na kamati, iliyokuwa ndio fimbo ya JYN aliotumia kuficha udhaifu wake katika kuongoza Bunge.

Sasa imejitokeza fursa, tuitumie.
P
 
Hongera kaka,wao wakikuwa na mamlaka, wewe ulikuwa na Kalamu, na imetenda kazi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…