Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Source ni taarifa rasmi za bunge zilizotangazwa na naibu spika muda mfupi uliopita na atakuwa bungeni kesho,
Bungeni pamewaka moto sana kutokana na wabunge wengi kuona hali halisi kuwa spika amemdhalilisha naibu wa spika.
Wabunge ni wakali kwelikweli na wanataka kuzungumzia azimio leo mchana japo haijajulikana ni azimio gani hilo ambalo wanalizungumzia ,nitawapa news pindi zikiwepo.
Haya sasa ni maigizo!!!!!!!!!!
Haya sasa ni maigizo!!!!!!!!!!
Naona spika ameamua kuahirisha safari ya marekani na kurejea bungeni kesho huenda hii ni kutokana na hali halisi ya bunge na mjadala wa jana na wabunge kushinikiza waletewe ripoti ya richmond.
Hapa kunaanza kukucha kidogo kidogo.
Ushirombo ulipotelea wapi wewe? Hii kali ndugu yangu
Hao wabunge wa CCM hapo hakutakuwa na jipya wala hawawezi kumfanya lolote spika wao. Ni huyo mama Malecela tu ndio Ngangari kweli kweli lakini wengine ni waoga na wanataka vyeo.
Bunge lingelikuwa na nguvu basi wangepiga kura ya kutokuwa na imani na spika.
Kumbe safari yenyewe haikuwa muhimu hiiivyooooooooooooooooo!!!!!
Yaani huyu mzee longolongo kweli na ana roho mbaya vilevile, si angemtuma Naibu Spika Mama Makinda au Mwenyekiti Job Ndugai na wao wakatanue majuu huko.
Kumbe safari yenyewe haikuwa muhimu hiiivyooooooooooooooooo!!!!!
Yaani huyu mzee longolongo kweli na ana roho mbaya vilevile, si angemtuma Naibu Spika Mama Makinda au Mwenyekiti Job Ndugai na wao wakatanue majuu huko.
Yaani Masatu leo ndiyo unajua haya ? CCM yetu ina mambo ya ajabu . Spika kaambiwa na Mwenyekiti wa Chama kwamba unakiua Chama sasa wakato yeye akiwa Pemba anajaribisha .Uamuzi huu ni kutoka juu na ndiyo sasa wameanza kuona uchungu wa wananchi .
Welcome back to CHAMA CHAMA MAPINDUZI (CCM)