RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Spika wa jamhuri ya muungano wa Tanzania DR.Tulia Ackson afahamu kuwa ushahidi na nyaraka alizozipata mpina hajazitafuta yeye mwenyewe Bali kuna watu wapo nyuma yake wamechoshwa na wizi unaofanywa na viongozi wa serikali.
Kimsingi naona spika hapa anaenda kutoaminika kwa umma kwa kile anachomfanyia mpina
Kimsingi naona spika hapa anaenda kutoaminika kwa umma kwa kile anachomfanyia mpina