evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Yes atapata Kama Lowassa anavyopata japo alijiuzuluNafahamu kwamba spika akistaafu kwa kumaliza muda wake anapata marupurupu ya spika mstaafu ambayo asilimia 80 ya mshahara wa spika atakayekuwepo hadi atakapofariki, lump sum pensheni ya jumla ya mishahara wake aliopokea kama spkika,diplomatic passport .
Kwa subwoofer aliyejiuzulu itakuwaje?
Utashangaa baadae anajiita spika mstaafuSpika mjiuzulu
Hata Lowasa anapata kila kitu,Kwahiyo Ayubu ataendelea kupata stahiki hiyoNafahamu kwamba spika akistaafu kwa kumaliza muda wake anapata marupurupu ya spika mstaafu ambayo asilimia 80 ya mshahara wa spika atakayekuwepo hadi atakapofariki, lump sum pensheni ya jumla ya mishahara wake aliopokea kama spkika,diplomatic passport .
Kwa subwoofer aliyejiuzulu itakuwaje?
Na hawezi kushtakiwa popote kwa lolote!Hata Lowasa anapata kila kitu,Kwahiyo Ayubu ataendelea kupata stahiki hiyo
Yeah, walijiwekea zao ulinzi saaafi kabisaNa hawezi kushtakiwa popote kwa lolote!
Waziri mkuu wa zamaniKwani Lowasa ana hadhi gani?
Waziri mkuu mstaafu.Kwani Lowasa ana hadhi gani?
Ni Tanzania tu Hata UKIJIUZULU kwa KASHFA unaendelea Kuitwa MSTAAFU km Lowassa Sitashangaa hata NDUGAI akaitwa SPIKA MSTAAFUNafahamu kwamba spika akistaafu kwa kumaliza muda wake anapata marupurupu ya spika mstaafu ambayo asilimia 80 ya mshahara wa spika atakayekuwepo hadi atakapofariki, lump sum pensheni ya jumla ya mishahara wake aliopokea kama spkika,diplomatic passport .
Kwa subwoofer aliyejiuzulu itakuwaje?