Spika amwaga mamilioni tabora!

Spika amwaga mamilioni tabora!

M-bongo

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
338
Reaction score
71
Katika hali inayojionyesha nia ya kujenga himaya ya utawala kwa siku za baadae, Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania amemwaga kiasi kikubwa cha fedha mkoani Tabora ili kumsaidia kijana mmoja aitwaye Paul Shija ambaye ni katibu wake wa Jimbo anayegombea U-enyekiti wa UVCCM mkoa wa Tabora! habari nilizozipata muda si mrefu ni kuwa pamoja na mapesa hayo Spika anashirikiana na Ismail Aden Rage ambaye pia ni mwenyekiti wa wazazi Mkoa wa Tabora! Taarifa zaidi zinadai kuwa Spika Sita anasaidiana pia na Mkuu mmoja wa Mkoa jirani ambaye ni rafiki yake wa karibu, kwa taarifa hii niombe vyombo vya dola viwe macho 08/12/2008 siku ya J3. taarifa zaidi zinadai kuwa msafara wa wapambe upo njiani kutoka Dar kwenda Tabora ili kuhakikisha kuwa kijana huyo anashinda
 
mtoa hoja habari hizi umezidaka wapi ama huna la kupost?sasa unatuambia mamilioni halafu huyataji,je yakiwa ni mamilioni matatu,sasa hayao ndio nini jamani mue na data za ku support ma majungu yenu,yani sasa hivi watu mnapost tu upupu wowowte lol kazi ipo,hebu nenda kamalize homework yako halafu uje na habari kamili kwa sasa siunaona hakuna hata mtu anataka kuchangia maana wanaona ni upupu
 
Cha kufurahisha kijana huyo wa Spika napewa taarifa muda huu kapigwa chini vibaya na mtoto wa mkulima wa jembe la mkono
 
Mafisadi wako wengi! sasa hayo mamilioni kama kweli Mr. SIX kayapata wapi?? Adan Rage gani? Yule aliyefungwa kwa kuiibia FAT? Kweli waingereza wanasema "SHOW ME YOUR FRIEND AND I WILL TELL YOU YOUR CHARACTER". Na huyo jamaa aliswekwa lupango kwa wizi ndio CCM Tabora imempa uenyekiti wazazi Mkoa?? MmmmmmmmmCCM inanuka!!
 
Mafisadi wako wengi! sasa hayo mamilioni kama kweli Mr. SIX kayapata wapi?? Adan Rage gani? Yule aliyefungwa kwa kuiibia FAT? Kweli waingereza wanasema "SHOW ME YOUR FRIEND AND I WILL TELL YOU YOUR CHARACTER". Na huyo jamaa aliswekwa lupango kwa wizi ndio CCM Tabora imempa uenyekiti wazazi Mkoa?? MmmmmmmmmCCM inanuka!!

Eti alishinda kesi, akawa si mwenye hatia!!!!!!!!

Mzee 6, huko Tabora wabunge mna nini??????
 
Katika hali inayojionyesha nia ya kujenga himaya ya utawala kwa siku za baadae, Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania amemwaga kiasi kikubwa cha fedha mkoani Tabora ili kumsaidia kijana mmoja aitwaye Paul Shija ambaye ni katibu wake wa Jimbo anayegombea U-enyekiti wa UVCCM mkoa wa Tabora! habari nilizozipata muda si mrefu ni kuwa pamoja na mapesa hayo Spika anashirikiana na Ismail Aden Rage ambaye pia ni mwenyekiti wa wazazi Mkoa wa Tabora! Taarifa zaidi zinadai kuwa Spika Sita anasaidiana pia na Mkuu mmoja wa Mkoa jirani ambaye ni rafiki yake wa karibu, kwa taarifa hii niombe vyombo vya dola viwe macho 08/12/2008 siku ya J3. taarifa zaidi zinadai kuwa msafara wa wapambe upo njiani kutoka Dar kwenda Tabora ili kuhakikisha kuwa kijana huyo anashinda

Naomba nisaidie kiasi cha fedha ambacho unakiita 'mamilioni'!
 
Mwl wangu wa darasa la cheke chekea alinifundisha kuwa uwingi unaanza kuhesabiwa baada ya kimoja so hata kama ni milioni mbili basi laweza kuwa jibu lako la msingi
 
Back
Top Bottom