Spika Dkt. Tulia Ackson mkanye Profesa Kitila Mkumbo anakunanga nje ya Bunge

Spika Dkt. Tulia Ackson mkanye Profesa Kitila Mkumbo anakunanga nje ya Bunge

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Maoni ya Kitila Mkumbo kuhusu issue ya Halima Mdee na Wenzake yanaonyesha anatambua akina Halima wapo Bungeni kinyume Cha Sheria na kwamba Chadema walifanya sahihi kuwqfukuza.

Anatumia lugha ya picha kujificha kwenye kura ya wazi huku akijua Hata ndani ya bunge matumizi ya kura ya wazi ni makubwa,ndani ya CCM ipo kura ya wazi pia na katiba na Sheria zinaeleza kura ya wazi na Siri.

Kitendo Mkumbo kujitokeza kukiri wabunge wa Chadema wapo kinyume Cha Sheria nikumkosoa spika bila kuonyesha anamkosoa,nikuikosoa mahakama pia. Lakini pia anaungwa mkono na Kibanda ambapo kibanda bila kupepesa Wala kumumunya maneno anakiri akina Mdee niwakosaji ila analalamikia adhabu kwamba imekuwa Kali.

Hawa watu wawili wanatoa picha kwamba kipo kikundi Cha watu kinajiandaa kuikosoa serikali,mahakama na Bunge indirectly. Wanaonyesha wazi kwamba Hata Wana CCM wanatambua makosa ya akina Mdee na kwamba waashangaa wanaofumbia macho wakosaji na kuwakumbatia.

Kibamba anakwenda mbali Zaidi nakuonyesha tumbo kwanza. Hii ni fedhea na CCM pamoja na spika wawe makini na viumbe Hawa.

Ni kweli Mkumbo anachuki akina halima au anashangalia wanapofedheeshwa ila anaweza akakaa tu Kimya KULIKO unafiki unamsifia MTU Kwa kumnanga. Ni kweli ana hasira kuvuliwa uwaziri lakini siyo apeleke machungu yake kuwakosoa wakubwa zake. Haya yalifanyika akiwa anaelewa uchafu mzima kwanini asikae Kimya?

Nadhani misimamo ya Chadema upo wakati inasaidia kuwatambua watu Kwa sura zao, imewasaidia akina halima kutambua chuki iliyopo HUKO waliko. Tumbo tumbo tumbo
 
Kitila ni mwana wazalendo wa zittto

USSR
 
Maoni ya Kitila Mkumbo kuhusu issue ya Halima Mdee na Wenzake yanaonyesha anatambua akina Halima wapo Bungeni kinyume Cha Sheria na kwamba Chadema walifanya sahihi kuwqfukuza.

Anatumia lugha ya picha kujificha kwenye kura ya wazi huku akijua Hata ndani ya bunge matumizi ya kura ya wazi ni makubwa,ndani ya CCM ipo kura ya wazi pia na katiba na Sheria zinaeleza kura ya wazi na Siri.

Kitendo Mkumbo kujitokeza kukiri wabunge wa Chadema wapo kinyume Cha Sheria nikumkosoa spika bila kuonyesha anamkosoa,nikuikosoa mahakama pia. Lakini pia anaungwa mkono na Kibanda ambapo kibanda bila kupepesa Wala kumumunya maneno anakiri akina Mdee niwakosaji ila analalamikia adhabu kwamba imekuwa Kali.

Hawa watu wawili wanatoa picha kwamba kipo kikundi Cha watu kinajiandaa kuikosoa serikali,mahakama na Bunge indirectly. Wanaonyesha wazi kwamba Hata Wana CCM wanatambua makosa ya akina Mdee na kwamba waashangaa wanaofumbia macho wakosaji na kuwakumbatia.

Kibamba anakwenda mbali Zaidi nakuonyesha tumbo kwanza. Hii ni fedhea na CCM pamoja na spika wawe makini na viumbe Hawa.

Ni kweli Mkumbo anachuki akina halima au anashangalia wanapofedheeshwa ila anaweza akakaa tu Kimya KULIKO unafiki unamsifia MTU Kwa kumnanga. Ni kweli ana hasira kuvuliwa uwaziri lakini siyo apeleke machungu yake kuwakosoa wakubwa zake. Haya yalifanyika akiwa anaelewa uchafu mzima kwanini asikae Kimya?

Nadhani misimamo ya Chadema upo wakati inasaidia kuwatambua watu Kwa sura zao, imewasaidia akina halima kutambua chuki iliyopo HUKO waliko. Tumbo tumbo tumbo
Nifundishe kunyamaza gospel song by "Martha Mwaipaja"
 
Ni uhuru wa kutoa maoni. Iweje sasa iwe ni kosa..?

Spika wa Bunge Dr Tulia Ackson amekosea kwa kutumia mamlaka yake vibaya kinyume na sheria za Tanzania na katiba ya JMT ya 1977 kwa kuwatambua wabunge wasio na sifa kuitwa wabunge kuwa bungeni...

Haijalishi Dr Kitila Mkumbo ama Absalom Kibanda ama mtu mwingine yeyote kasema ama la. Kukosea ni kukosea tu. Dr Tulia Ackson, kakosea...!
 
Kitila ana uhuru wa kutoa maoni yake bila kuvunja sheria za nchi. Kama hautaki watu waongee kaanzishe nchi yako na wajinga wenzako.
 
Kumkosoa spika siyo dhambi wala kosa la jinai. Kwann mleta mada unamshitakia Mkumbo kwa spika?

Unataka kuturudisha kwa enzj ya Simba wa Yuda?
 
-Hawa Waheshimiwa huwa wanaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977 na marekebisho yake
-.Kosa liko wapi,Ni yule anayesema ukweli kuwa Katiba imekiukwa au ......
 
Maoni ya Kitila Mkumbo kuhusu issue ya Halima Mdee na Wenzake yanaonyesha anatambua akina Halima wapo Bungeni kinyume Cha Sheria na kwamba Chadema walifanya sahihi kuwqfukuza.

Anatumia lugha ya picha kujificha kwenye kura ya wazi huku akijua Hata ndani ya bunge matumizi ya kura ya wazi ni makubwa,ndani ya CCM ipo kura ya wazi pia na katiba na Sheria zinaeleza kura ya wazi na Siri.

Kitendo Mkumbo kujitokeza kukiri wabunge wa Chadema wapo kinyume Cha Sheria nikumkosoa spika bila kuonyesha anamkosoa,nikuikosoa mahakama pia. Lakini pia anaungwa mkono na Kibanda ambapo kibanda bila kupepesa Wala kumumunya maneno anakiri akina Mdee niwakosaji ila analalamikia adhabu kwamba imekuwa Kali.

Hawa watu wawili wanatoa picha kwamba kipo kikundi Cha watu kinajiandaa kuikosoa serikali,mahakama na Bunge indirectly. Wanaonyesha wazi kwamba Hata Wana CCM wanatambua makosa ya akina Mdee na kwamba waashangaa wanaofumbia macho wakosaji na kuwakumbatia.

Kibamba anakwenda mbali Zaidi nakuonyesha tumbo kwanza. Hii ni fedhea na CCM pamoja na spika wawe makini na viumbe Hawa.

Ni kweli Mkumbo anachuki akina halima au anashangalia wanapofedheeshwa ila anaweza akakaa tu Kimya KULIKO unafiki unamsifia MTU Kwa kumnanga. Ni kweli ana hasira kuvuliwa uwaziri lakini siyo apeleke machungu yake kuwakosoa wakubwa zake. Haya yalifanyika akiwa anaelewa uchafu mzima kwanini asikae Kimya?

Nadhani misimamo ya Chadema upo wakati inasaidia kuwatambua watu Kwa sura zao, imewasaidia akina halima kutambua chuki iliyopo HUKO waliko. Tumbo tumbo tumbo
Kwaiyo kama wako bungeni kimakosa asisemeee???
 
Spika Tulia ni viongozi waliopata hizo nafasi wakawa msingi wa utawala usioheshimu sheria. Amesimamia siasa chafu sana hapa nchini, na sasa anafanya muendelezo.
 
Back
Top Bottom