MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Viongozi wa nchi yetu hawajawahi kukumbana na nguvu ya umma.Tatizo letu kubwa ni impunity... "Exemption from punishment or freedom from the injurious consequences of an action."
Nchi nzima inajua wale sio wabunge halali, lakini wanaendelea kulindwa kwa sababu wanajua hatuna kitu tutafanya.
Taasisi yenye viongozi wanaojiheshimu; walipaswa ku-take a step back na kuipa nafasi hiyo doubt. Hivi kweli mtu una mke, then unaambiwa na mama wa mke wako, hao watoto sio wa kwako; hutaki hata kustuka!
Hapa Luna neno,Spika sio halali ikitokea wabunge wasiokuwa na sifa kuondolewa?Nimemsikiliza juzi Spika Tulia nikasikitika sana. Sijui kwanini aliamua kujibu maswali yale
Amedhalilika sana ukizingatia ni mwanasheria tena mhadhiri. Ilikuwa aibu
Tulia anasema suala waulizwe Tume ya uchaguzi. Sophia alipotimuliwa JYN alitangaza kupokea barua ya CCM. Sheria za nchi zinasema mtu akifukuzwa chama anapoteza Ubunge. Hivi hili nalo mhadhiri wa sheria halijui
Pili, anasema, Chadema wafuate taratibu! pathetic.
Taratibu za chama zinasimamiwa na chama si Spika wa Bunge.
Ikiwa alishajivua nafasi kwa kutupa mzigo kwa tume, ni taratibu gani za Bunge zinazoelekeza ''utaratibu ufuatwe'? Hapa watu wasifikirie utumbo wa Ndugai alioutengeneza kulinda COVID-19 kwa sababu zake
Chadema wametoa tuhuma nzito za kufoji nyaraka kutoka Tume ya uchaguzi. Ni wajibu wa vyombo husika kufuatilia. Wote wamekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea
Kisheria Tulia amechaguliwa na baadhi ya watu wasiowabunge kinyume cha sheria.
Tulia ni Spika, mwanasheria na Mhadhiri wa chuo kikuu! nadhani sisi kama nchi tujiulize
Mkuu Nguruvi3, kwenye hili la forgery ya wabunge wa Chadema, let's not beat around the bush, forgery imefanyika ndani ya Chadema, NEC wamepokea barua ya uteuzi kutoka Chadema, ikijua ni barua bonafide genuine, hivyo ikawateua wabunge 19 ikawakabidhi Bungeni. Spika akawapokea akawaapisha chap chap fasta fasta.Mkuu P. Hapa kuna hoja nyingi sana zitokanazo. Kwanza, DCI anapokea taarifa lakini pia ana mamlaka ya kuchunguza kwa kushirikiana na vyombo vingine. Ikiwa kuna tuhuma vyombo hapo juu vinaweza kufanya kazi pamoja.
Hapana, waandishi wa kichunguzi wanatafuta habari kwa source zao hawasubiri kuletewa mezani
Yes to some extent kuna ukweli, kulikuwa a hint za jambo hilo. Kwasababu zisizojulikana Chadema hawakuweza ku pre-empty situation na handling yake baada ya pale ilikuwa poor! kuna ukwel
As far as their status is concerned, mpaka tunapoandika hapa, wale wabunge 19 ni wabunge halali, waliteuliwa kihalali na barua ya uteuzi halali kutoka Chadema, hivyo NEC ikawapa barua za uteuzi viti maalum na kumpelekea Spika. Wakaapishwa, hivyo mpaka sasa bado ni wabunge halali hadi pale Chadema itakapo fanya the right thing, ama ithibitishe forgery, ama kikao cha Baraza Kuu kithibishe yale maamuzi ya ile kangaroo court, ndipo watenguliwe, inayotengua ubunge wao ni mamlaka yao ya uteuzi ambayo ni NEC na sio Bunge!. Na hata wakitenguliwa, kura zao kumchagua Tulia ni kura halali, kwasababu wakati wanapiga kura walikuwa wabunge halali!.Spika Tulia hawezi kuwaondoa Wale 19 (sio wabunge) .
Hao 19 wameshiriki kumpigia kura. Hata kama wasingekuwepo angekuwa Spika, hofu yake ni kuwa ikibanika ni Watu wa nje na walimpigia kura mchakato wa kumpata yeye unaingia doa.
Hivyo atawalinda kwa gharama na heshima ya Bunge na nchi ili aendelee kuwa Spika
MBOGA MBOGA FC wametoa tumbili wameingiza kingedele😂😂Hata kama Spika atawachukulia kuwa NI wanachama halali wa Chadema. Chadema imeshatoa ufafanuzi nyaraka zilizotumika kuwaingizwa bungeni zimefojiwa.
Na wanaoandaa nyaraka hizo wameshatoa taarifa za sahihi zao na majina yao kufojiwa. Sijui wanataka Nani aje asibitishe Hilo. Wakati wewe unasema huyu ndio aliyeandaa Orodha ya Wabunge. Kamati kuu inakaa kikao inakupa barua kuwa hatukuandaa sisi. Na wanakujulisha Spika kuwa hao NI waalifu wamefoji nyaraka.
CHADEMA haina haja ya kutoa taarifa za uhai au kutokuwa mwanachama ili kuonesha uhalali wa akina mdee. Sababu hawatakiwi kuwepo bungeni sababu wameingia kwa njia haramu.
Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Kushindwa kufanya hivyo kutaendelea kuoneshaa dunia kuwa Sheria ya Kinga dhidi ya kushitakiwa kwa spika ililetwa ili kumfanya Spika kutoa maamuzi ya kuangamiza upinzani. Na kuwe akuna mwanya wa kuipata haki kokote atakapoweza kuitafunga au kuipokonya kwa nguvu.
Kwa Sheria hiyo Spika Sasa ameweza kuvunja katiba bila hofu ya kushitakiwa, kupingwa Wala maamuzi yake kukatiwa rufaa.
Ninachokiona kwenye hilo sakata taasisi zote hakuna inayojitegemea katka ufanyaji kazi wake, mkuu wa nchi akishasema hakuna taasisi inayoweza kusema hapana.Tatizo letu kubwa ni impunity...
"Exemption from punishment or freedom from the injurious consequences of an action."
Nchi nzima inajua wale sio wabunge halali, lakini wanaendelea kulindwa kwa sababu wanajua hatuna kitu tutafanya.
Taasisi yenye viongozi wanaojiheshimu; walipaswa ku-take a step back na kuipa nafasi hiyo doubt. Hivi kweli mtu una mke, then unaambiwa na mama wa mke wako, hao watoto sio wa kwako; hutaki hata kustuka!
Kama covid 19 walofoji wakajipeleka bungeni, mbona chadema hawajatoa orodha ya wabunge ambayo si ya kufoji Hadi leo?As far as their status is concerned, mpaka tunapoandika hapa, wale wabunge 19 ni wabunge halali, waliteuliwa kihalali na barua ya uteuzi halali kutoka Chadema, hivyo NEC ikawapa barua za uteuzi viti maalum na kumpelekea Spika. Wakaapishwa, hivyo mpaka sasa bado ni wabunge halali hadi pale Chadema itakapo fanya the right thing, ama ithibitishe forgery, ama kikao cha Baraza Kuu kithibishe yale maamuzi ya ile kangaroo court, ndipo watenguliwe, inayotengua ubunge wao ni mamlaka yao ya uteuzi ambayo ni NEC na sio Bunge!. Na hata wakitenguliwa, kura zao kumchagua Tulia ni kura halali, kwasababu wakati wanapiga kura walikuwa wabunge halali!.
P
Mkuu wa nchi anapaswa kusimamia sheria, na kama akishindwa anapasww kuwajibishwa. Hakuna uwajibikaji nchini hapa. Ndio maana watu wanafanya watakalo na hamna kitu tunafanyaNinachokiona kwenye hilo sakata taasisi zote hakuna inayojitegemea katka ufanyaji kazi wake, mkuu wa nchi akishasema hakuna taasisi inayoweza kusema hapana.
Tunahitaji mwanzo mpya... Hizi tabia za forgery kwenye mambo ya serikali zimekuwa nyingi sana. Boniface Jacob aliondolewa kwenye umeya kwa forgery, tukawa kimya, baadae tumepata wabunge wa forgery. Leo inawezekana tuna Spika ambaye ni matokeo ya forgery; lile barua la CAPITAL LETTER sijui kama ni la kweliViongozi wa nchi yetu hawajawahi kukumbana na nguvu ya umma.
Wanafanya haya kwa kujua hakuna la kuwafanya. Wanajua kwamba wanadanganya, na wanajua umma unajua lakini pia wanajua umma hauna lolote dhidi yao
Spika Tulia ni Mwanasheria na Mhadhiri kisheria. Alikuwa naibu Spika mkasa ukitokea
Anajua A-Z za kila kitu. Juzi katika interview utadhani ndio anaingia Bungeni kwa mara ya kwanza
Bunge ni taasisi inayopaswa kujiheshimu ili iheshimiwe. Majukumu ya Bunge kama'' kikao cha wananchi wa Tanzania'' ni pamoja na kutunga sheria. Bunge hilo hilo linafanya mambo ya ajabu sana.
Spika Tulia hawezi kuwaondoa Wale 19 (sio wabunge) .
Hao 19 wameshiriki kumpigia kura. Hata kama wasingekuwepo angekuwa Spika, hofu yake ni kuwa ikibanika ni Watu wa nje na walimpigia kura mchakato wa kumpata yeye unaingia doa.
Hivyo atawalinda kwa gharama na heshima ya Bunge na nchi ili aendelee kuwa Spika
Tukae chini na kuandika utaratibu mwingine, huu wa katiba ya leo hautufai
Mkuu moja kati ya sifa za IJ ni kutafuta habari , kuzifanyia utafiti na kuzitoa hadharani.Kwa upande wa sisi waandishi, the primary source ya IJ hii ni hiyo barua ya uteuzi ya Chadema kwenda NEC kuwateua hao wabunge 19. Kwa hapa jambo hili lilipofikia, no Tanzanian journalist or media can do anything without a police report kwasababu hiyo barua ndio the bone of contention inalindwa as number 1, top Classified document, the only way to get hold of that document ni kwa Chadema kuripoti polisi kuwa wao kama chama hawajaandika barua yoyote ya uteuzi wa wabunge wake wa viti maalum kwenda NEC, hivyo barua iliyopelekwa NEC imefojiwa. Jeshi la polisi Tanzania ndio mamlaka pekee yenye uwezo wa kulazimisha NEC kuitoa copy ya hiyo barua ya uteuzi na IJ ndio can start there.
Mbona muzee unachanganya mwenyewe unakiri Mbatia alichukua hatuwa mahakama ikaficha bunge likazunguka kuitoa kwenye Website huoni Chadema hawana cha kufanya ila wao bunge wafanye kama walivyo fanya kwenye Website?As far as their status is concerned, mpaka tunapoandika hapa, wale wabunge 19 ni wabunge halali, waliteuliwa kihalali na barua ya uteuzi halali kutoka Chadema, hivyo NEC ikawapa barua za uteuzi viti maalum na kumpelekea Spika. Wakaapishwa, hivyo mpaka sasa bado ni wabunge halali hadi pale Chadema itakapo fanya the right thing, ama ithibitishe forgery, ama kikao cha Baraza Kuu kithibishe yale maamuzi ya ile kangaroo court, ndipo watenguliwe, inayotengua ubunge wao ni mamlaka yao ya uteuzi ambayo ni NEC na sio Bunge!. Na hata wakitenguliwa, kura zao kumchagua Tulia ni kura halali, kwasababu wakati wanapiga kura walikuwa wabunge halali!.
P
Mkuu Mtama mchungu, tofautisha forgery, kughushi, na void or voidable, batili na batilifu.Tunahitaji mwanzo mpya... Hizi tabia za forgery kwenye mambo ya serikali zimekuwa nyingi sana. Boniface Jacob aliondolewa kwenye umeya kwa forgery, tukawa kimya, baadae tumepata wabunge wa forgery. Leo inawezekana tuna Spika ambaye ni matokeo ya forgery; lile barua la CAPITAL LETTER sijui kama ni la kweli
Kwani msiende mahakamani kuonyesha bunge na hao 19 wamefoji documents ili sheria ichukue mkondo wake?Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Mkuu Nguruvi3, kwenye hili la IJ, nakubaliana na wewe, it's a weakness on our part!.Mkuu moja kati ya sifa za IJ ni kutafuta habari , kuzifanyia utafiti na kuzitoa hadharani.
Mwandishi wa habari John Miller wa ABC alimhoji Osama Bin Laden kabla ya shambulio la Dar es Salaam na Nairobi. Kwenda kuonana na OBL si mchezo, ni kuweka roho rehani, aliweka.
Tazama akina Nima Albagir na habari za Horn of Afrika au Arwa Damon na akina C.Amapour kwa uchache. Hawa hutafuta habari ambazo si rahisi kuzipata katika media bila utafiti n.k.
Kwa Tanzania issue hii ndipo IJ walitakiwa wafanye kazi. Kuwa IJ si reporter wa kusubiri mtu aje kuhubiri, ni kazi ya kuchimba , kudodosa hadi ukweli ujitokeze.
Mfano, habari ingekuwa endelevu wangejitokeza tu ima kukanusha au kukubali.
Juzi Spika katupa zigo NEC, hii maana yake kuna weak point na hapo ndipo IJ anapoingia. Kudodosa si kuuliza tu bali kumlazimisha mtu atoe habari bila kupenda, ni kukera ni kuchokoza .
Jeshi la Polisi lina mamlaka kwa mujibu wa sheria na maandishi. Kwa matendo na ''competence'' si hivyo na ni kuwabebesha mzigo tu! Hivi hawa si ndio wanaofanya kazi na DCI kama alivyosema JokaKuu
Jeshi la Polisi halisubiri kuletewa habari. Hivi kukiwa na habari za hatari kwa usalama wa nchi jeshi litasubiri mtu au watu waende kulalamika.
Bunge halipokei nyaraka toka Chadema.Ata Kama Spika atawachukulia kuwa NI wanachama halali wa chadema. Chadema imeshatoa ufafanuzi nyaraka zilizotumika kuwaingizwa bungeni zimefojiwa.
Na wanaoandaa nyaraka hizo wameshatoa taarifa za sahihi zao na majina yao kufojiwa. Sijui wanataka Nani aje asibitishe Hilo. Wakati wewe unasema huyu ndio aliyeandaa Orodha ya Wabunge. Kamati kuu inakaa kikao inakupa barua kuwa hatukuandaa sisi. Na wanakujulisha Spika kuwa hao NI waalifu wamefoji nyaraka.
Chadema haina haja ya kutoa taarifa za uhai au kutokuwa mwanachama ili kuonesha uhalali wa akina mdee. Sababu hawatakiwi kuwepo bungeni sababu wameingia kwa njia haramu.
Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Kushindwa kufanya hivyo kutaendelea kuoneshaa dunia kuwa Sheria ya Kinga dhidi ya kushitakiwa kwa spika ililetwa ili kumfanya Spika kutoa maamuzi ya kuangamiza upinzani. Na kuwe akuna mwanya wa kuipata haki kokote atakapoweza kuitafunga au kuipokonya kwa nguvu. Kwa Sheria hiyo Spika Sasa ameweza kuvunja katiba bila hofu ya kushitakiwa, kupingwa Wala maamuzi yake kukatiwa rufaa.
Paskali, ukiona wakati mwingine wanaJF wanakusema kwa lugha hasi, fahamu kwamba hawakuchukii wewe mwenyewe binafsi, bali wanaonyesha hasira zao kwa Waandishi wa Habari kupitia kwako kwa sababu mbele ya macho yetu, wewe ni Mwandishi Jasiri.Mkuu Nguruvi3, kwenye hili la IJ, nakubaliana na wewe, it's a weakness on our part!.
Tanzania's mediocre media. We are better off without them lot
GaDo......nilidhani umelowea KE peke yake.Mavitu yako kule huwa nayakubali ....inagawa kenya ni wakofori na hutanguliza watu front ila ungeleta hata nusu tuu hayo TZ..CCM wangepitandika mabomu ufe na km kaburi lingepata vipande kidogo vilivyozikwa ..wange olasiti na soweto manya time over...www.jamiiforums.com
PMedia kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?
Wanabodi, Declaration of Interest: mwanzisha mada ni mwandishi wa habari mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii as active media kwa zaidi ya miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu as passive media kama mwandishi/mtangazaji was kujitemea kupitia kampuni ya PPR. Serikali zote...www.jamiiforums.com
Na kwa hili tunampongeza Paskali, tuna channel ulichosema ''hasira' zetu si kwakwe bali kwa kutambua ni yeye aliyejitokeza na tunayemjua tena akikabiliana na hoja hata zisizopendeza.Paskali, ukiona wakati mwingine wanaJF wanakusema kwa lugha hasi, fahamu kwamba hawakuchukii wewe mwenyewe binafsi, bali wanaonyesha hasira zao kwa Waandishi wa Habari kupitia kwako kwa sababu mbele ya macho yetu, wewe ni Mwandishi Jasiri.
Kwakweli ujasiri na IJ hakuna hapa nchini. Hili lisingefika hapa kama lingekuta wenye weledi.Tunapoona ujasiri umeyeyuka miongoni mwa Waandishi wa Habari, we have been channeling our disappointments and frustrations through you.
And I believe you know this.
Paskali, you are a flag bearer.
Anafahamu sana kuwa wapo kwa mgongo wa CCM, lakini anajaribu kulipa fadhila za kura walizompigia akapita kwa 100%!Hata kama Spika atawachukulia kuwa NI wanachama halali wa Chadema. Chadema imeshatoa ufafanuzi nyaraka zilizotumika kuwaingizwa bungeni zimefojiwa.