johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Spika Dr Tulia amewataka Wananchi wasiishie kwenye kujiandikisha tu bali wajikite kuwapigia Kampeni viongozi wenye Viwango vya kuwavusha
Dr Tulia amewataka Wananchi wawe makini katika kuupima ubora wa viongozi watakaowafaa katika nyakati Hizi za Global economy
Ahsanteni sana 😄
Dr Tulia amewataka Wananchi wawe makini katika kuupima ubora wa viongozi watakaowafaa katika nyakati Hizi za Global economy
Ahsanteni sana 😄