Nchi hii tuna Katiba inayotuongoza, tuna sheria, kanuni na taratibu mbalimbali pia zinatuongoza.
Kwa suala la Wabunge wanawake kutoka CHADEMA ninakuomba kubali yaishe tuendelee a mengine. Uwe kama Pilato.
Wewe huna kosa bali unatekeleza na kufuata sheria. Nisingetumaini pia kesho waingie mjengoni.
Tenda HAKI.
Kwa suala la Wabunge wanawake kutoka CHADEMA ninakuomba kubali yaishe tuendelee a mengine. Uwe kama Pilato.
Wewe huna kosa bali unatekeleza na kufuata sheria. Nisingetumaini pia kesho waingie mjengoni.
Tenda HAKI.