Spika kuwa mkuu nchi wakati rais na makamu rais wasipokuwepo

Spika kuwa mkuu nchi wakati rais na makamu rais wasipokuwepo

daniel enocy

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
380
Reaction score
413
Habari wana jamvi kuna hoja hainiingii akilini kwann spika awe mkuu wa nchi kama rais na makamu wake hawapo ,haiwezi kuathiri principle of check and balace na kwan awe sipika wa bunge hakuna mwingiliano wa madaraka hapa
 
Mie nazan kama spika hafai basi katibu wa chama ndo angepaswa kukaimu huo ukuu wa nchi.
 
Rais na makamu wasipo kuwepo Waziri mkuu anakaimu na sio spika.
 
Back
Top Bottom