i am not interested, huna data
i am not interested, huna data
:tape::tape: kaa na maumivu yako kwani lazima uandike!i am not interested, huna data
1.Spika atakayelinda maslahi ya mafisadi.
2.Spika ambaye hataruhusu mijadala aina ya richmond,epa,meremeta,tangold,mikataba mibovu ya madini,vitalu vya wanyamapori n.k.....
3.Spika ambaye yuko tayari kuwa remoted na mafisadi.
4.
5.
6.
CCM makini, Chadema, NCCR,TLP,UDP CUF tafadhali kura yako iamue aina ya spika atakayefaa kwa taifa hili na hali yake.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki bunge letu,Mungu yabatilishe mawazo ya mafisadi na njama zao. Amen!!!!!!!