Elections 2010 Spika na Viongozi wa bunge wanachangia bunge liwe hovyo.

Elections 2010 Spika na Viongozi wa bunge wanachangia bunge liwe hovyo.

PrN-kazi

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
2,900
Reaction score
444
Katika hali ya kushangaza, bunge la leo kwa vipindi vyote viwili asubuhi na jioni limeisha uku likiacha wabunge wananungunika: hoja zimetolewa-wabunge wakaomba mwongozo wa spika pamoja na utaratibu lkn hakuna aliyesikilizwa zaidi kuropokaropoka kwa Wabunge wanaojiita ni wana-magamba.
 
its a shame kusikia wakipayuka hovyo, lol! Inabore hata kuangalia
 
Mch.msigwa kampiga kijembe mhe. Sitta, kwamba kat yao wanaotekeleza ilani ya chama na yeye aliyesalit chama na kutaka kuanzisha CCJ, nan MNAFIKI!! Baada 6 kutetea ful kuiponda ponda mezani yetu pale Mjengon. "he is no Longer the One we used to knw"
 
Sita kauli yako ya kwamba wananchi watamua basi hilo tutalifanyia kazi ,,,kwani hoja zote za upinzani zina mantiki sana kwa kuwa ndio wenye dhamana ya kuisimamia serikali
 
Mwongozo wa spika ,mwenyekiti mbona hautumiki vizuri ?CCM Vs Chadema serikali iwe makini na haya mambo kwa kuwa sisi wananchi kazi yetu ni moja tu kuamua nani arudi tena huko mjengoni
 
Sita kauli yako ya kwamba wananchi watamua basi hilo tutalifanyia kazi ,,,kwani hoja zote za upinzani zina mantiki sana kwa kuwa ndio wenye dhamana ya kuisimamia serikali
Haswaaaaaaa!!!!!!! that is what we're remaining with.
 
Mch.msigwa kampiga kijembe mhe. Sitta, kwamba kat yao wanaotekeleza ilani ya chama na yeye aliyesalit chama na kutaka kuanzisha CCJ, nan MNAFIKI!! Baada 6 kutetea ful kuiponda ponda mezani yetu pale Mjengon. "he is no Longer the One we used to knw"

Kwenye Red hapo. Huyu ni mbunge wangu na sijutii gharama niliyoitumia kutoka Kigoma Hadi Iringa kwa ajili ya kumpigia kura. Iringa tokea Tanzania ipate uhuru ndo tumepata mbunge sasa
 
Kubeza hoja za upinzani kwa ujumla kama alivyofanya Sitta, kiongozi wa shughuli za Serikali, ni ubabe wa hali ya juu - na hasa alipohakikisha anakuwa msemaji wa mwisho na anakwepa kujibiwa!
 
Kwenye Red hapo. Huyu ni mbunge wangu na sijutii gharama niliyoitumia kutoka Kigoma Hadi Iringa kwa ajili ya kumpigia kura. Iringa tokea Tanzania ipate uhuru ndo tumepata mbunge sasa
Tupo pamoja mkuu hili ni jembe la ukweli. Hata mimi nilikuwa Tabora kwa bibi but nilihiyari kujichanga nije niwahamasishe masela tuliinue jembe letu thanks God likapita kwa kishindo pamoja na kuchakachuliwa. Sasahivi nafarijika sana ninapolitazama jembe langu kwenye TV, I wish ningekuwa Iringa ili furahayangu itimie. Well done Msigwa still together till the end of time. Don't give up the fight!!!
 
zaman nilidhani sita ana nafuu, kumbe ndo bogas kabisa, yeye ndo mnafiki alietaka kuanzisha ccj ikamshinda, bora lowasa. lakin pinda na sita pale ni hewa tu, hawana lolote
 
Ni aibu mno... i wish wangekua na utashu kila mmoja kwa nafsi yake waone walivyo tia aibu...
sijui bunge linaelekea wapi... mwelekeo wake kuufikiria tu ni aibu na kusikitisha...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni aibu mno... i wish wangekua na utashu kila mmoja kwa nafsi yake waone walivyo tia aibu... sijui bunge linaelekea wapi... mwelekeo wake kuufikiria tu ni aibu na kusikitisha...
dada yangu! leo walikuwa wana taka aminisha Jamii Et wanatibiwa kwny vizahanat vyetu, na misuli ya shingo inawatoka kabisa, then quotation ya hayati wanaipinga, et wanashaur hayati anukuliwe ktk maneno mazur tu aliyoyatoa. Hiki n kizaz cha dot.com tunaangalia matendo na si kusikiliza maneno.
 
Ni aibu mno... i wish wangekua na utashu kila mmoja kwa nafsi yake waone walivyo tia aibu...
sijui bunge linaelekea wapi... mwelekeo wake kuufikiria tu ni aibu na kusikitisha...

Asha ndio matokeo ya nchi kukosa uongozi thabiti. Viongozi wote wa juu hovyooo na Bunge la Magamba nalo hovyooo halafu tukisema ukweli kuhusu uongozi mbovu unaongamiza nchi wanalalama ooh! Wale kule JF wanachafua Viongozi kumbe Viongozi wanajichafua wenyewe kwa matendo yao ya kila siku na kutoa kauli ambazo haziingii akilini na sasa hili Bunge ni Bunge linalofedhehesha sana. Sijawahi kuona vikao vya Bunge vyenye kiwango duni kama hili Bunge la sasa. Inasikitisha sana kusema kweli.
 
then quotation ya hayati wanaipinga, et wanashaur hayati anukuliwe ktk maneno mazur tu aliyoyatoa. Hiki n kizaz cha dot.com tunaangalia matendo na si kusikiliza maneno.
seo4.jpg
seo3.jpg

song.jpg
signature.jpg

baby2.jpg
 
Back
Top Bottom