Spika Ndugai ataka PAC kuwahoji watendaji wa Tanesco, TRC, Muhimbili na Posta kwanini hawakupeleka mahesabu kwa CAG!

Spika Ndugai ataka PAC kuwahoji watendaji wa Tanesco, TRC, Muhimbili na Posta kwanini hawakupeleka mahesabu kwa CAG!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Spika wa bunge ameyashangaa mashirika makubwa nchini kama Tanesco, TRC, Muhimbili, MOI na Posta kushindwa kuwasilisha mahesabu yao kwa CAG.

Ndugai ameitaka kamati ya bunge ya mashirika ya umma PAC kuwaita watendaji wa mashirika hayo na ikiwezekana wataishauri serikali ivunje bodo za mashirika hayo.

Source ITV habari!
 
Hii PAC kisheria inatakiwa kuongozwa na wapinzani, hivi ni nani anaongoza hiyo kamati?

Na kwanini bunge huwa halipeleki mahesabu yao kwa CAG? namshangaa Ndugai anawasema hao wakati na yeye hana tofauti nao.
 
Kwani reports za CAG zilicomment vipi kuhusu hayo Mashirika?
Kwanini wahusika wasipeleke mahesabu yao kwa CAG kwanza ili CAG awasilishe taarifa zao kwanza kwa Mh. Rais alafu ndio ziwasilishwe Bungeni?
Hata hivyo si vibaya kwa Mh. Spika kukumbushia mahesabu hayo ili ikiwezekana wahusika wafanyie kazi.
 
Posta tayari Ila huku mwingine bado wanademka Nina Imani nao panga litapita.
 
Hii PAC kisheria inatakiwa kuongozwa na wapinzani, hivi ni nani anaongoza hiyo kamati?

Na kwanini bunge huwa halipeleki mahesabu yao kwa CAG? namshangaa Ndugai anawasema hao wakati na yeye hana tofauti nao.
Inaongozwa na mama Kaboyoka wa Chadema!
 
Back
Top Bottom