Spika Ndugai atakubali aibu kuwa alivunja na kuisigina katiba?

Spika Ndugai atakubali aibu kuwa alivunja na kuisigina katiba?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Naona mambo yanazidi kuwa mabaya kwa spika Ndugai maana aliwaapisha kwa haraka wanamama 19 wa Chadema ili bunge analoliongoza lionekane lina wabunge toka chama cha upinzani.

Chadema nao wakafanya kweli wakawatimua wabunge walioapishwa na Spika Ndugai na hii ni wazi kuwa hawana sifa ya kuwa wabunge kama ibara ya 71(1)(e) inavyotanabaisha.

Swali kubwa Je, Spika Ndugai atakubali kuwaondoa bungeni wabunge ambao alishaapa kuwalinda kwa udi na uvumba? Kisha kukubali kuwa mpaka sasa anavunja katiba ya JMT?
 
Naona mambo yanazidi kuwa mabaya kwa spika Ndugai maana aliwaapisha kwa haraka wanamama 19 wa Chadema ili bunge analoliongoza lionekane lina wabunge toka chama cha upinzani.

Chadema nao wakafanya kweli wakawatimua wabunge walioapishwa na Spika Ndugai na hii ni wazi kuwa hawana sifa ya kuwa wabunge kama ibara ya 71(1)(e) inavyotanabaisha.

Swali kubwa Je, Spika Ndugai atakubali kuwaondoa bungeni wabunge ambao alishaapa kuwalinda kwa udi na uvumba? Kisha kukubali kuwa mpaka sasa anavunja katiba ya JMT?
Mbona tar 17.3.2021 alikubali matokeo
 
Naona mambo yanazidi kuwa mabaya kwa spika Ndugai maana aliwaapisha kwa haraka wanamama 19 wa Chadema ili bunge analoliongoza lionekane lina wabunge toka chama cha upinzani.

Chadema nao wakafanya kweli wakawatimua wabunge walioapishwa na Spika Ndugai na hii ni wazi kuwa hawana sifa ya kuwa wabunge kama ibara ya 71(1)(e) inavyotanabaisha.

Swali kubwa Je, Spika Ndugai atakubali kuwaondoa bungeni wabunge ambao alishaapa kuwalinda kwa udi na uvumba? Kisha kukubali kuwa mpaka sasa anavunja katiba ya JMT?
Kwani mhalifu huwa anajihukumu mwenyewe?!

Anatakiwa apewe maelekezo thabiti kwamba anawajibika kuheshimu, kutii na kufuata matakwa ya Katiba. Bila hivyo, hatoshi kwenye nafasi ya uspika
 
Ule ni mpango wa CCM yote. Ndugai anabebeshwa furushi tu. CCM wakiamua hao Covid 19 wanaondoka tena na Ndugai atakua anacheka tu Kama alivyowachekea Wakati anawaapisha. CCM ni genge la Uhalifu hatari zaidi duniani
 
Wanaotuangusha Ni Hawa Ninaowateua Wamekalia Mambo Ya Darasani Tu Mara Details Design,BOQ
JPM
 
Kwa kawaida mjinga huwa hakubali kosa. Na uzoefu unaonyesha viongozi wetu wengi ni wajinga, na hutumia zaidi kiburi cha madaraka kuficha ujinga wao. Ndugai yuko kwenye lile kundi la watu 60% wasio na uwezo aliosema Prof. Assad.
 
Naona mambo yanazidi kuwa mabaya kwa spika Ndugai maana aliwaapisha kwa haraka wanamama 19 wa Chadema ili bunge analoliongoza lionekane lina wabunge toka chama cha upinzani.

Chadema nao wakafanya kweli wakawatimua wabunge walioapishwa na Spika Ndugai na hii ni wazi kuwa hawana sifa ya kuwa wabunge kama ibara ya 71(1)(e) inavyotanabaisha.

Swali kubwa Je, Spika Ndugai atakubali kuwaondoa bungeni wabunge ambao alishaapa kuwalinda kwa udi na uvumba? Kisha kukubali kuwa mpaka sasa anavunja katiba ya JMT?
Ana Kinga ya kushtakiwa ndio sababu Anafanya Atakavyo Yeye kwenye hii Jamuhuri [emoji88]
Huku Hana kinga
[emoji116][emoji116]
 
Ule ni mpango wa CCM yote. Ndugai anabebeshwa furushi tu. CCM wakiamua hao Covid 19 wanaondoka tena na Ndugai atakua anacheka tu Kama alivyowachekea Wakati anawaapisha. CCM ni genge la Uhalifu hatari zaidi duniani


Nimekuelewa👏👏👏
 
Huo ndio ukweli
Ule ni mpango wa CCM yote. Ndugai anabebeshwa furushi tu. CCM wakiamua hao Covid 19 wanaondoka tena na Ndugai atakua anacheka tu Kama alivyowachekea Wakati anawaapisha. CCM ni genge la Uhalifu hatari zaidi duniani
 
Itabidi aendelee kutafuta backing ya mhimili uliojichimbia kwenda chini zaidi ili hao wabunge wake wa-survive, vinginvyo ikifunguliwa kesi ya kikatiba ajiandae na matokeo kwa kuingiza watu ambao hawana sifa za kuwa wabunge na kuisababishia nchi hasara kubwa....
 
Back
Top Bottom