johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Spika Ndugai amekiri kupata wakati mgumu kwenye kuitafsiri Katiba iwapo Dkt. Mpango awaage wabunge wenzake kabla ya matokeo ya kura kutangazwa na kumthibitisha au baada yake.
Amesema iwapo atamtangaza Dkt. Mpango amepitishwa kuwa Makamu wa Rais basi haitawezekana tena mteule huyo kupewa fursa ya kuongea kwani atakuwa siyo Mbunge tena.
Na iwapo atampa fursa ya kuliaga bunge kabla matokeo ya kura hayajajulikana nayo ni kama haijakaa sawasawa.
Lakini mwisho Spika Ndugai ameamua Dkt. Mpango aliage Bunge kabla ya matokeo kutangazwa.
Maendeleo hayana vyama!
Amesema iwapo atamtangaza Dkt. Mpango amepitishwa kuwa Makamu wa Rais basi haitawezekana tena mteule huyo kupewa fursa ya kuongea kwani atakuwa siyo Mbunge tena.
Na iwapo atampa fursa ya kuliaga bunge kabla matokeo ya kura hayajajulikana nayo ni kama haijakaa sawasawa.
Lakini mwisho Spika Ndugai ameamua Dkt. Mpango aliage Bunge kabla ya matokeo kutangazwa.
Maendeleo hayana vyama!