wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Umeona rangi yake?Huyu mama aliekuwa m'bunge wa KAFU ameunga mkono juhudi za meko au ni meko kujipendekeza.
Wameapishwa GEREJI hahahaa.Spika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF.
Two mistakes can't make one right.Ndio siasa! Mbona nyie mlikuwa mko tayari kuua mtu ili mradi kumtetea Mdee ila leo mnamuita mzee?
Pia umesahau ya Lowasa? Haya yanayowapata Chadema ni halali yenu.
Bunge halina uwezo kisheria kuendelea kuwa na covid19 Bungeni. Kwa Sheria ipi? Ndugai aache hoja za kitoto. Hili si Bunge la kongwa.Spika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF...
Mkuu MtamaMchungu , kutafsiri sheria, legal interpretation ni a specialised field na haifanywi na kila mtu, ndio maana kwa Tanzania inafanywa na mahakama kuu pekee. Katika kutafsiri sheria, au katiba, kitu cha kwanza cha kuzingatia ni mtunga katiba alidhamiria nini kwa kifungu hicho.Nadhani watu tunapata tabu kuona tofauti ya Shule na Jengo la Shule, Mahakama na Jengo la Mahakama, Kanisa na Jengo la Kanisa, Bunge na Jengo la Bunge.
Mara nyingi hivi vitu ni conceptual zaidi ya literal. Shule inaweza kuwa hata chini ya mpapai, na ikaitwa shule. Kwa wenye kumbukumbuku sawasawa, kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabili Zombe, mahakama iliahamia kwenye msitu wa Pande, unaweza kusema ni batili kisa haikuwa kwenye jengo la mahakama kuu? Hapa Bwana Mbowe alikuwa too literal.
Wakati anachukua ile fomu moja tu iliyokuwepo chamani kwake ya kuteuliwa kuwania urais tulichukulia poa. Kosa kubwa la kiufundi. Iliandikwa kwa herufi kubwa: KUONGOZA VYOMBO VYA DOLA. Sasa ndio tunashtuka?Huyo amewasababisha hata ile akili kidogo mliodhaniwa kuwa nayo kuvurujika.
Sasa hivi sii mahaka,, bunge, taasisi yeyote iliyo huru.
Zote zinaulilia uhuru maana wako chini ya kitisho na hofu
Hata wewe ni mtumwa ndani ya nchi yako ila uwezo wa kutambua hilo huna.
Katika sakata la Chadema,spika amekiuka katiba. Chama chochote cha siasa hapa nchini hata iwe ccm kikimkataa mwanachama wake hakuna mamlaka inayoweza kubatilisha zaidi ya mahakama.Spika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF...
Ngoja tuendelee kuisoma noWakati anachukua ile fomu moja tu iliyokuwepo chamani kwake ya kuteuliwa kuwania urais tulichukulia poa. Kosa kubwa la kiufundi. Iliandikwa kwa herufi kubwa: KUONGOZA VYOMBO VYA DOLA. Sasa ndio tunashtuka?
Ndio ishageuzwa kuwa hivyo. Kwa sasa bunge maana yake spika. Halafu kwa sasa bungeni ni eneo lote la bunge sio lazima ndani ya bunge .Mkuu MtamaMchungu , kutafsiri sheria, legal interpretation ni a specialised field na haifanywi na kila mtu, ndio maana kwa Tanzania inafanywa na mahakama kuu pekee. Katika kutafsiri sheria, au katiba, kitu cha kwanza cha kuzingatia ni mtunga katiba alidhamiria nini kwa kifungu hicho.
Nimeonyesha mtunga katiba alidhamiria Mbunge ataapishwa Bungeni mbele ya Spika, kitu muhimu ni Bungeni, kwa maana ya kikao cha Bunge na sio jengo la Bunge!.
Kikao cha Bunge kinaweza kuitishiwa popote sio lazima ndani ya jengo la Bunge, kitu muhimu ni kikao na sio Spika.
Bunge ni jengo tuu, lakini kikao cha Bunge ni zaidi ya jengo. Mbunge anapaswa kuapa Bungeni mbele ya Spika Kanuni hiyo imempa Spika mamlaka ya kujingeuza yeye ndio Bunge hivyo popote atakapochagua, hata hiyo car park kuwa ndio Bunge!. This is wrong!.
Jengo sio issue, popote kunaweza kufanyika kikao cha Bunge hata hapo gereji, lakini essence ya kiapo cha Mbunge ni Bungeni mbele ya Spika.
Ni kama ilivyo Ikulu, ni makazi yoyote ya rais wa JMT anapoweza kufanyia majukumu ya kiurais, hivyo hata rais anapokuwa mapumzikoni Chato, akifanya jukumu lolote la urais, then hapo Chato panageuka ni Ikulu ya Chato!.
PKiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!
Wanabodi, Salaam, Neno "Mjinga" ni tukano, ila sio tusi!. Mtu kuwa mjinga ni ile hali ya kutokujua. Hivyo mtu akikuita mjinga, anamaanisha wewe hujui kitu fulani anachokuitia mjinga. Ukiwa hujui kitu fulani na ukaitwa mjinga, hujatukanwa bali umeambiwa ukweli kuhusu hali ya kutokujua kwako...www.jamiiforums.com
Mh Spika jana kaongea mambo mazito kuhusu CHADEMA na Mbowe kwenye suala la viti maalum. Kasema yanayofanyika kwenye hivi vyama ni ya kusikitisha na kutisha. Kaendelea kusema kuwa baadhi ya vyama ni kama SACCOS na ni kampuni binafsi za watu. Kasema kuwa watu ni miungu watu na kwa uwazi kamtaja Mbowe kuwa anaendesha chama kwa upendeleo huku akiwapatia viti maalum watu special. Tena kasema kwani yeye anadhani ni nani kwenye nchi hii?
Sasa swali langu ni hili, iwapo haya yote ni kweli yanatendeka, kwanini hatua madhubuti za kisheria hazichukuliwi dhidi ya wahusika ? Mbona inakuwa ni kupashana zaidi?
Na sasa najua mipasho itahamia bungeni hapo february, sasa haya mpaka lini ?
NCHI iko salama ndiyo maana umeweza kuandika ulichoandika tofauti na upande unaoshabikiaMpaka pale wananchi tutakapoamka na kuirejesha nchi yetu mikononi mwetu, dhidi ya wanaodhani kuwa wanatumiliki sisi na nchi kama mali zao.
NCHI iko salama ndiyo maana umeweza kuandika ulichoandika tofauti na upande unaoshabikia
Ushauri kwako na wafuasi wenzio wa "Mwamba tuvushe" kama ambavyo viongozi wake wanavyomsujudu, ninyi mnamwogopa humu JF kumwambia ukweli kuwa Chama siyo SACCOS.
Hongera sanaSpika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF.
Shughuli za uapisho zitafanyika katika Viwanja vya Bunge Jiji Dodoma saa 10:00 Jioni.
Spika Ndugai: Wako rafiki zetu ambao hivi karibuni wamejipambanua kwa kukejeli shughuli za bunge, niwatahadharishe na kuwakumbusha labda wamesahau kwamba ni jambo lisilokubaika kwa mtu yeyote kudharau shughuli za Bunge, kudhalilisha Bunge, kudhalilisha uongozi wa Bunge na hata kudhalilisha wabunge waliokwisha kuapishwa.
Kufikiri kwamba Bunge ni ukumbi wa Bunge peke yake ni fikra finyu sana. Kwa hiyo wabunge wote wa Bunge la 12 tuliowaapisha tunaendelea kuwatambua ni wabunge kamili ikiwa ni pamoja ni pamoja na wale 20 wa chama cha CHADEMA, kumi na tisa na yule mmoja aliechaguliwa ambae ni mheshimiwa Aida Khenan. Nashangaa wanawasonga hawa 19, yule mmoja wamemgwaya? Wakiweza wamfukuze basi lakini sisi tumeshamuapisha na tunamtambua kwamba ni mbunge wa Bunge la 12, hayo yanayoendelea huko yakwao.
Hebu waacheni wastaafu wetu wapumzike, tuwaache wapumzike wazee wetu wamefanya kazi nzuri iliyotukuka, mambo huku nyuma yao yanabadilika kwa hiyo mnapowafata wakati wao wana kumbukumbu zile za wakati ule na huku kuna mambo mapya yanaendelea mnataka kuwachonganisha wazee hawa na wananchi wa Tanzania na si haki.
Si vizuri baadhi ya vyombo vya habari mnaofanya namna hii, waacheni wazee wapumzike.
Kwa hiyo wale waliokuwa na wasiwasi wale wabunge 19, niwahakikishie wale ni wabunge kamili wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania na niwakumbushe wanahabari, kila mnapowatamka majina yao muanze na neno mheshimiwa.
Yupo rafiki yangu mmoja nimtaje tu jina, mheshimiwa Freeman Mbowe tulianza nae ubunge mwaka 2010, tunafahamiana vizuri japo alipigwa chini hapo katikati, mimi nimeendelea moja kwa moja. Mwenzangu alipigwa chini, mzoefu wa kuanguka kwenye chaguzi hizi wala sio mara ya kwanza.
Amesimama akaanza kuwatukana hadharani waheshimiwa wabunge hawa wanawake, kwa mtu mzima na mwanaume wa kitanzania uliyefundwa ni aibu kubwa kutukana wanawake hadharani, ningependa kuchukua nafasi kumuonya na kumkanya hadharani asione sifa katika jambo hilo.