Bora uwe maskini na uwe na akili kuliko kuwa tajiri huku ukiwa na akili nusu.Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile wasichokitaka au kumuumbua mtu ndani au nje ya bunge...
Wapiga wengi ni Elowai hivi hamjitambui?kuendelea kuwa-Undermine ni kutafuta kukosa kura hiyo ndo siasa babaBora uwe maskini na uwe na akili kuliko kuwa tajiri huku ukiwa na akili nusu.
Msukuma na Kibajaji wote wakapimwe akili kwanza, wanatumika bila kujua kwamba wanatumika.
Hakuna bunge hapo hilo ni kusanyiko la wahuniKibajaji- Wananionea wivu kwavile nagombea uNec
Msukuma- Kwavile wewe lasaba mwenzangu ndiyo maana hawakutaki....
A m e nNi maombi yangu ,"Yeyote asiyeitakia mema nchi hii ,aelekee Jongomeo kama ilivyokuwa kwa Jiwe",Amina
Tunalo bomba la TAZAMA ndg ! Siyo kitu kigeni kwetubilion 76 kwa mwaka ni peanut kulinganisha na athari za mazingira zinazoweza kutokea kutokana na kuvuja bomba hilo pamoja na moshi utakaoachiwa kwenye anga yetu kutokana na kurefine mafuta hayo kabla hayajasafirishwa
tena sana!Spika Ndugai ni Dhaifu
mbaya zaidi sie ndio tunawalipa eti posho ya makalio kwa upuuzi huo!.Hakuna bunge hapo hilo ni kusanyiko la wahuni