Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umechelewa sana kulijua hili !Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile wasichokitaka au kumuumbua mtu ndani au nje ya bunge.
Ndio maana hawa hata waende nje ya kanuni za bunge hawazuiwi wala kuonywa.
Sasa Spika kama anaweza kutumia hayo madafu kwa interest zake bungeni "heshima" hilo bunge iko wapi tena?
Sasa wewe umeshajiita "shithole", utakuwa na tofauti na huyo "msukuma"!!??Nawakubali sana hao wabunge mimi,hebu ichambue hotuba ya msukuma,halafu uniambie ulasaba uko wapi pale?, elimu haiongezi akili,wala elimu haikufanyi uwe mazalendo,
Ni takataka kabisa mkuumbaya zaidi sie ndio tunawalipa eti posho ya makalio kwa upuuzi huo!.
sibora hiyo pesa ikanunulie madawati watoto wetu wasikae sakafuni wakiwa darasani
Ameondoka nini tuanze kufurahi?Natanguliza pole za dhati kwa wapiga kura wa Kongwa.
wananchi wa Kongwa ni kama tu wanaongozwa na mfu.Ameondoka nini tuanze kufurahi?
Ndiyo maana wanaishi kwenye nyumba za tembewananchi wa Kongwa ni kama tu wanaongozwa na mfu.
Msukuma mnae mzalau bungeni Ndo mwenye point.Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile wasichokitaka au kumuumbua mtu ndani au nje ya bunge.
Ndio maana hawa hata waende nje ya kanuni za bunge hawazuiwi wala kuonywa.
Sasa Spika kama anaweza kutumia hayo madafu kwa interest zake bungeni "heshima" hilo bunge iko wapi tena?
Wananyamaza maana wanatumia falsafa ya "never argue with a fool, people will not notice the difference "Mtoa mada unaongelea nini?
Tunao ma prof lkn elimu yao ya kukakariirishwa kwenye makatarasi haijatupeleka popote zaidi ya kusainishwa mikataba ya kipuuzi na wasomi uchwara wa kizungu, hawa wasomi hawana tofauti na Chifu Mangugo wa Msowero.
Hawa la Saba kama wanajenga hoja hadi waziri Prof dish lake linayumba si bora wao?
Hata kama data wanalishwa na huyo spika sawa , hapo ni ujanja tu wakupata taarifa'.
Msukuma ana kampuni ameajiri walisoma na digrii zao nani mjinga hapo? Hivi kuna msomi mwenye akili aseme kama Katiba inaruhusu acheeni watu watinduane mitalo au aseme si kazi yake kuchungulia watu wanaume wanakula kisamvu kwa mila za Kiafrika? Kwahiyo watoto wake wakipigana scrach kwake sawa.
Mtu aliyekaririshwa ili kuyumbisha au kushambulia dawa yake si amshuti kwa hoja na kumtoa kwenye reli wanashindwaje na hawa ELOWAYI? Maana dawa ya mtazamiaji ni kuandika jibu la Uongo au unaandika tusi , halafu unalifuta wakati wa kukusanya daftari. Ukiona la saba wanamshambulia msomi na kumushinda jua ni mweupe tu.
sure hawana hata vyooNa kujikuta zaidi ya 75% ya wananchi wa Kongwa wanakunya porini
Sasa kwa nini mifano ya ujinga anatolewa Msukuma na Kibajaj na sio Kishimba?Msukuma mnae mzalau bungeni Ndo mwenye point.
Hii imedhihirishwa na Rais Samia baada ya kumtaja Kishimba kwa pointi zake
Acha uongo wewe. Msukuma ana kampuni gani ambayo ameajiri wenye digrii? Itajaje hiyo kampuni,usitulishe matango pori hapa!Mtoa mada unaongelea nini?
Tunao ma prof lkn elimu yao ya kukakariirishwa kwenye makatarasi haijatupeleka popote zaidi ya kusainishwa mikataba ya kipuuzi na wasomi uchwara wa kizungu, hawa wasomi hawana tofauti na Chifu Mangugo wa Msowero.
Hawa la Saba kama wanajenga hoja hadi waziri Prof dish lake linayumba si bora wao?
Hata kama data wanalishwa na huyo spika sawa , hapo ni ujanja tu wakupata taarifa'.
Msukuma ana kampuni ameajiri walisoma na digrii zao nani mjinga hapo? Hivi kuna msomi mwenye akili aseme kama Katiba inaruhusu acheeni watu watinduane mitalo au aseme si kazi yake kuchungulia watu wanaume wanakula kisamvu kwa mila za Kiafrika? Kwahiyo watoto wake wakipigana scrach kwake sawa.
Mtu aliyekaririshwa ili kuyumbisha au kushambulia dawa yake si amshuti kwa hoja na kumtoa kwenye reli wanashindwaje na hawa ELOWAYI? Maana dawa ya mtazamiaji ni kuandika jibu la Uongo au unaandika tusi , halafu unalifuta wakati wa kukusanya daftari. Ukiona la saba wanamshambulia msomi na kumushinda jua ni mweupe tu.
Kibajaji- Wananionea wivu kwavile nagombea uNec
Msukuma- Kwavile wewe lasaba mwenzangu ndiyo maana hawakutaki
Ndugai- Jamani Wabunge tutampa Uneki Kibajaji
Bunge - Ndiyooooo tutampa
Sasa kweli hili ni Bunge au kikao cha chama?
Nchi tunakwenda wapi?
It's really disgusting the way things are proceeding over there.Kibajaji- Wananionea wivu kwavile nagombea uNec
Msukuma- Kwavile wewe lasaba mwenzangu ndiyo maana hawakutaki
Ndugai- Jamani Wabunge tutampa Uneki Kibajaji
Bunge - Ndiyooooo tutampa
Sasa kweli hili ni Bunge au kikao cha chama?
Nchi tunakwenda wapi?
Pia mkuu ukirejea issue ya Bangi si ni haohao Msukuma na KishimbaSasa kwa nini mifano ya ujinga anatolewa Msukuma na Kibajaj na sio Kishimba?
Kishimba hakusoma lakini ameelimika ndio maana hana mambo ya kipumbavu kama hao wawili