Spika Ndugai, kila tangazo lina umuhimu kwa jamii?

Spika Ndugai, kila tangazo lina umuhimu kwa jamii?

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Ikiwa Viongozi Wakuu na baadhi ya waheshimiwa wakiugua hakuna taarifa yoyote ya Spika kutolewa kwa wananchi.

Je, kuna sheria gani au ulazima gani wakutambulishana ME/KE wa mheshimiwa Fulani.

Mheshimiwa akifa taarifa na kuahirisha vikao.

Akiwa anaumwa siri ya familia huku mkijua nikiongozi wa jamii.

Nampongeza aliyejisemea tangazeni naenda kutibiwa nje na alipogundulika akasema ni "TEZI DUME"
 
Back
Top Bottom