Ikiwa Viongozi Wakuu na baadhi ya waheshimiwa wakiugua hakuna taarifa yoyote ya Spika kutolewa kwa wananchi.
Je, kuna sheria gani au ulazima gani wakutambulishana ME/KE wa mheshimiwa Fulani.
Mheshimiwa akifa taarifa na kuahirisha vikao.
Akiwa anaumwa siri ya familia huku mkijua nikiongozi wa jamii.
Nampongeza aliyejisemea tangazeni naenda kutibiwa nje na alipogundulika akasema ni "TEZI DUME"
Je, kuna sheria gani au ulazima gani wakutambulishana ME/KE wa mheshimiwa Fulani.
Mheshimiwa akifa taarifa na kuahirisha vikao.
Akiwa anaumwa siri ya familia huku mkijua nikiongozi wa jamii.
Nampongeza aliyejisemea tangazeni naenda kutibiwa nje na alipogundulika akasema ni "TEZI DUME"