Spika Ndugai mbona CUF na CCM waliwafukuza wanachama wake hukudai muhtasari wala Katiba, kwanini udai kwa CHADEMA?

Spika Ndugai mbona CUF na CCM waliwafukuza wanachama wake hukudai muhtasari wala Katiba, kwanini udai kwa CHADEMA?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Hakika inashangaza na kustajabisha kwanini spika aliyeapa kuulinda na kuitumikia katiba ya nchi leo ndio anakuwa kiongozi tena wa mhimili anaivunja Katiba kwa makusudi na kuteteta uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia Mwanasheria mkuu wa Serikali ipo kimya.

Spika huyo huyo aliwahi kuwafukuza wabunge 8 wa cuf baada ya mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba kumwandikia barua Spika Ndugai ya kumtaarifa juu ya kufukuzwa kwao na kuwaapisha wengine haraka na Spika Ndugai hakudai muhtasari wala katiba ya CUF. Kama haitoshi Spika Ndugai huyo huyo aliwahi kumfukuza mbunge Sophia Simba baada ya chama chake cha CCM kumfukuza uanachama na hatukumsikia Spika Ndugai kudai muhtasari wala Katiba ya CCM je kwanini CHADEMA ndio wanatakiwa kupeleka muhtasari

Na katiba ya chama?

Ni wazi suala hili spika ndugai inawezekana ana maslahi binafsi na hao wabunge fake 19 na ukimya wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tume ya uchaguzi kutokujibu barua ya CHADEMA kwa miezi 5 sasa na pia kitendo cha DPP kumtoa mmoja wa hao wabunge mahabusu ili akaapishwa vitendo vyote hivyo vinaashiria ni mpango uliopangwa.
 
Hakika Inashangaza na Kustajabisha kwanini SPIKA Aliyeapa Kuulinda na Kuitumikia KATIBA ya NCHI Leo ndio anakuwa Kiongozi tena wa Mhimili Anaivunja KATIBA Kwa MAKUSUDI na KUTETETA Uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI ipo KIMYA.SPIKA huyo huyo Aliwahi Kuwafukuza WABUNGE 8 Wa CUF baada ya Mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba Kumwandikia Barua SPIKA NDUGAI ya kumtaarifa juu ya Kufukuzwa kwao na Kuwaapisha wengine haraka na SPIKA NDUGAI hakudai MHUTASARI wala KATIBA ya CUF.Kama Haitoshi SPIKA NDUGAI huyo huyo aliwahi kumfukuza MBUNGE Sophia Simba baada ya Chama chake cha CCM kumfukuza Uanachama na hatukumsikia SPIKA NDUGAI kudai MHUTASARI wala KATIBA ya CCM je KWANINI CHADEMA ndio Wanatakiwa Kupeleka MHUTASARI
na KATIBA ya CHAMA?
Ni Wazi Suala hili SPIKA NDUGAI inawezekana ana MASLAHI binafsi na Hao Wabunge Fake 19 na UKIMYA wa MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI na TUME ya UCHAGUZI kutokujibu BARUA ya CHADEMA kwa Miezi 5 sasa na Pia Kitendo cha DPP kumtoa Mmoja wa hao Wabunge Mahabusu ili Akaapishwa Vitendo vyote hivyo vinaashiria ni MPANGO uliopangwa.
Hiyo ni mipango waliyoipanga tangu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019,uchaguzi mkuu 28 Otober 2020 waliostahili wasiwepo bungeni kwa mujibu wa sheria wameingizwa kimabavu kwa sababu ya rushwa ya ngono.
 
Ndugai ni speaker mstaafu ndani bunge....muda mwalimu mzuri sana
 
Hakika Inashangaza na Kustajabisha kwanini SPIKA Aliyeapa Kuulinda na Kuitumikia KATIBA ya NCHI Leo ndio anakuwa Kiongozi tena wa Mhimili Anaivunja KATIBA Kwa MAKUSUDI na KUTETETA Uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI ipo KIMYA.SPIKA huyo huyo Aliwahi Kuwafukuza WABUNGE 8 Wa CUF baada ya Mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba Kumwandikia Barua SPIKA NDUGAI ya kumtaarifa juu ya Kufukuzwa kwao na Kuwaapisha wengine haraka na SPIKA NDUGAI hakudai MHUTASARI wala KATIBA ya CUF.Kama Haitoshi SPIKA NDUGAI huyo huyo aliwahi kumfukuza MBUNGE Sophia Simba baada ya Chama chake cha CCM kumfukuza Uanachama na hatukumsikia SPIKA NDUGAI kudai MHUTASARI wala KATIBA ya CCM je KWANINI CHADEMA ndio Wanatakiwa Kupeleka MHUTASARI
na KATIBA ya CHAMA?
Ni Wazi Suala hili SPIKA NDUGAI inawezekana ana MASLAHI binafsi na Hao Wabunge Fake 19 na UKIMYA wa MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI na TUME ya UCHAGUZI kutokujibu BARUA ya CHADEMA kwa Miezi 5 sasa na Pia Kitendo cha DPP kumtoa Mmoja wa hao Wabunge Mahabusu ili Akaapishwa Vitendo vyote hivyo vinaashiria ni MPANGO uliopangwa.


Chama cha wachagga/kikabila. Soon kinapotea kwenye ramani
 
Nadhani Rais mwenyewe amemruhusu Ndugai afanye hayo anayoyafanya. Kumbuka Rais ni Mwenyekiti wa CCM na hii saga ya Covid 19 inahusisha wizi na uhuni uliofanywa na Mwenyekiti aliyepita kwa faida ya CCM.

Jobo hana uwezo wa kujimwambafai namna Ile kama hajapewa go ahead wakiwa kwenye vikao vya chama maana anayewalipa hao ni Mwenyekiti wa CCM ambaye tunamjua.

So kwangu mie lawama zangu zinaanzia kwa mama ndio zinashuka kwa huyu agwe.
 
Ni uzoefu na busara ndio vimemuelekeza hivyo thread closed.
Hahahaha kajibiwa

Screenshot_20210507-165151.png
 
Nadhani Rais mwenyewe amemruhusu Ndugai afanye hayo anayoyafanya. Kumbuka Rais ni Mwenyekiti wa CCM na hii saga ya Covid 19 inahusisha wizi na uhuni uliofanywa na Mwenyekiti aliyepita kwa faida ya CCM.

Jobo hana uwezo wa kujimwambafai namna Ile kama hajapewa go ahead wakiwa kwenye vikao vya chama maana anayewalipa hao ni Mwenyekiti wa CCM ambaye tunamjua.

So kwangu mie lawama zangu zinaanzia kwa mama ndio zinashuka kwa huyu agwe.
Inaonekana wazi ni mipango ya ccm kuidhoofisha chadema kwa namna yoyote ile.
 
Unafikiri hajui hilo, ni kujihangaisha kureason na mtu ambaye anafanya kusudi. "By reasons or force."
 
Mleta mada swali katiba zao ziko sawa na ya Chadema kuhusu wanachama kufukuzwa uanachama? Ya CHADEMA INATAMKA WAZI KUWA Baraza kuu ndio final zao zinasema hivyo?

Pili Unajua kuwa waliambatanisha au la kwani wewe ulikuwa Spika uliyepokea hizo barua?

Mnakwepa kwepa tuu itisheni baraza kuu litoe maamuzi kama katiba yenu inavyosema.Mnataka serikali isimamie katiba ya nchi ninyi ya kwenu tu Chadema inawashinda.Itisheni mkutano wenu wa baraza kuu mumalize hilo jambo mnajaza server za jamii forums bure

Chadema chama cha hovyo sana .
 
Ndugai anakula 10% ndio maana kashupaza shingo na hiyo dili
 
Mtaweka thread nyingi wee za kuponda Ndugai weee hatoki mtu hadi baraza kuu Chadema muitishe litoe uamuzi

Hizi kelele zenu za kuanzisha thread kila dakika kuponda Ndugai wakati solution mnaijua ni kuitisha tu baraza kuu litoe maamuzi mnaonyesha mlivyojaa ujinga vichwani mwenu
 
Hakika Inashangaza na Kustajabisha kwanini SPIKA Aliyeapa Kuulinda na Kuitumikia KATIBA ya NCHI Leo ndio anakuwa Kiongozi tena wa Mhimili Anaivunja KATIBA Kwa MAKUSUDI na KUTETETA Uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI ipo KIMYA.SPIKA huyo huyo Aliwahi Kuwafukuza WABUNGE 8 Wa CUF baada ya Mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba Kumwandikia Barua SPIKA NDUGAI ya kumtaarifa juu ya Kufukuzwa kwao na Kuwaapisha wengine haraka na SPIKA NDUGAI hakudai MHUTASARI wala KATIBA ya CUF.Kama Haitoshi SPIKA NDUGAI huyo huyo aliwahi kumfukuza MBUNGE Sophia Simba baada ya Chama chake cha CCM kumfukuza Uanachama na hatukumsikia SPIKA NDUGAI kudai MHUTASARI wala KATIBA ya CCM je KWANINI CHADEMA ndio Wanatakiwa Kupeleka MHUTASARI
na KATIBA ya CHAMA?
Ni Wazi Suala hili SPIKA NDUGAI inawezekana ana MASLAHI binafsi na Hao Wabunge Fake 19 na UKIMYA wa MWANASHERIA MKUU wa SERIKALI na TUME ya UCHAGUZI kutokujibu BARUA ya CHADEMA kwa Miezi 5 sasa na Pia Kitendo cha DPP kumtoa Mmoja wa hao Wabunge Mahabusu ili Akaapishwa Vitendo vyote hivyo vinaashiria ni MPANGO uliopangwa.
Jibu liko hapa.
 
Mleta mada swali katiba zao ziko sawa na ya Chadema kuhusu wanachama kufukuzwa uanachama? Ya CHADEMA INATAMKA WAZI KUWA Baraza kuu ndio final zao zinasema hivyo?

Pili Unajua kuwa waliambatanisha au la kwani wewe ulikuwa Spika uliyepokea hizo barua?

Mnakwepa kwepa tuu itisheni baraza kuu litoe maamuzi kama katiba yenu inavyosema.Mnataka serikali isimamie katiba ya nchi ninyi ya kwenu tu Chadema inawashinda.Itisheni mkutano wenu wa baraza kuu mumalize hilo jambo mnajaza server za jamii forums bure

Chadema chama cha hovyo sana .

Hayo majina ya hao covid 19 yalikuwa na hiyo katiba ya chama, na majina ya vikao vilivyowateua ili avitake sasa? Ndugai akubali tu aliamua kufuata maagizo na siasa za kishenzi za yule dhalimu, na sasa anaonyesha kiburi tu cha madaraka, lakini hana jipya lolote.
 
Hayo majina ya hao covid 19 yalikuwa na hiyo katiba ya chama, na majina ya vikao vilivyowateua ili avitake sasa? Ndugai akubali tu aliamua kufuata maagizo na siasa za kishenzi za yule dhalimu, na sasa anaonyesha kiburi tu cha madaraka, lakini hana jipya lolote.
Ukweli ndiyo huo na si vinginevyo.
 
Mtaweka thread nyingi wee za kuponda Ndugai weee hatoki mtu hadi baraza kuu Chadema muitishe litoe uamuzi

Hizi kelele zenu za kuanzisha thread kila dakika kuponda Ndugai wakati solution mnaijua ni kuitisha tu baraza kuu litoe maamuzi mnaonyesha mlivyojaa ujinga vichwani mwenu

Huyo mpuuzi Ndugai angekuwa ana akili gas yetu ingejadikiwa kwa hati ya dharura huko bungeni? Wakati wa JK alikuwa naibu spika, bunge lilijadili mkataba wa gas kwa hati ya dharura, leo hii gas imeenda. Halafu mpuuzi wa hivyo unamtetea kwa haya mambo yasiyo na maana.
 
Mtaweka thread nyingi wee za kuponda Ndugai weee hatoki mtu hadi baraza kuu Chadema muitishe litoe uamuzi

Hizi kelele zenu za kuanzisha thread kila dakika kuponda Ndugai wakati solution mnaijua ni kuitisha tu baraza kuu litoe maamuzi mnaonyesha mlivyojaa ujinga vichwani mwenu
YEHODAYA
Hebu nikuulize swali jepesi tu, kwani CCM na CUF ya Profesa Lipumba walipowafukuza wabunge wao, walifukuzwa na kikao cha Baraza Kuu??

Kama wao CCM na CUF ya Lipumba, waliwavua uanachama wabunge wao, kwa kupitia vikao vya CC vya vyama vyao, iweje Leo chama cha Chadema, kitumie njia hiyo hiyo, itokee Spika Ndugai anagomea maamuzi ya CC ya Chadema??

Hivi kwani Spika Ndugai hivi sasa amekuwa mhimili wa mahakama, hadi adai muhtasari na Katiba ya Chadema, ili ajiridhishe kufukuzwa kwao uanachama??
 
Back
Top Bottom