Spika Ndugai mbona CUF na CCM waliwafukuza wanachama wake hukudai muhtasari wala Katiba, kwanini udai kwa CHADEMA?

Inaonekana wazi ni mipango ya ccm kuidhoofisha chadema kwa namna yoyote ile.
Chadema inajindhhoofisha yenyewe kwa nini msiite mkutano wa baraza kuu kama katiba inavyosema mumalize hilo tatizo?
 
Weka katiba zao zinavyosema hapa kuhusu kufukuza mtu uanachama
 
Chadema iliwahi kumvua Zitto uanachama, mbona huyo supuka hakuomba katiba? Jibu ni eidha maelelezo ya shujaa wa afRiCa ama dunga ana intEreSt zake.
 
Chadema iliwahi kumvua Zitto uanachama, mbona huyo supuka hakuomba katiba? Jibu ni eidha maelelezo ya shujaa wa afRiCa ama dunga ana intEreSt zake.
Walikimbizana hadi mahakamani na CHADEMA au umesahau?
 
Huyu ana ugonjwa kama mwendazake.
Iko siku atajuta
 
Tatizo ni pesa kutoka jumuiya ya madola, wasipokuwepo wabunge wa upinzani kuongoza baadhi ya kamati hizo pesa hawatapewa. kipindi hicho kulikuwa hakuna hilo hitaji.
 
Huyu matonya kaharibu sana viwango vya bunge letu hadi limekuwa bunge la kudharauliwa sana.
 
MATONYA MWEREVU SANA.CCM MNATUKOSEA SANA KUPITIA SPIKA/NAIBU WAKE.
Kuleni kichwa , wacheni maneno mengi, spika wa aina hii anaitia aibu Nchi,
Upinzani Tanzania unahitaji kuheshimika, Bila ya kuondoka na kichwa cha mtfedhuli itabaki story tuu.
 
Hiyo ni mipango waliyoipanga tangu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019,uchaguzi mkuu 28 Otober 2020 waliostahili wasiwepo bungeni kwa mujibu wa sheria wameingizwa kimabavu kwa sababu ya rushwa ya ngono.
Basi ngono kwa hao mothers ni tamu sana..kama viongozi wanatoa kafara m.12*19 per month kisa ngono..huo utamu si huu ninaoujua mm.
 
Chadema inajindhhoofisha yenyewe kwa nini msiite mkutano wa baraza kuu kama katiba inavyosema mumalize hilo tatizo?
Kikao cha Baraza kuu hakiitishwi kwa matakwa ya mjinga mmoja anayesigina katiba ya nchi, bali kwa kufuata katiba ya chama.

Ndugai anaonekana mjinga kuhangaika na mchakato wa kuwafukuza uanachama covid 19, wakati siyo hoja ya msingi.

Hoja ya msingi ni kuwa CHADEMA haijawahi kuteua wabunge wa viti maalum. Yeye aliletewa na nani majina ya hao covid 19?

Ndugai, kwa ujinga anaoufurahia, anataka kuwaaminisha wajinga wenzake kuwa CHADEMA ilikuwa na wabunge, na sasa CHADEMA emewafukuza uanachama.
 
hoja ya msingi ni kuwa CHADEMA haijawahi kuteua wabunge wa viti maalum. Yeye aliletewa na nani majina ya hao covid 19?
Waulizeni hao wabunge wenu kwenye kikao cha Baraza KUU Wako tayari kuwaelezeni huko mbona mnakuwa wazito kwa hilo? wakati wao wako tayari kuwaambia kila kitu,Mnakwepa nini? wabunge wenu wapo na wana utayari ninyi mnagomea nini?
 
Waulizeni hao wabunge wenu kwenye kikao cha Baraza KUU Wako tayari kuwaelezeni huko mbona mnakuwa wazito kwa hilo? wakati wao wako tayari kuwaambia kila kitu,Mnakwepa nini? wabunge wenu wapo na wana utayari ninyi mnagomea nini?
Bahati mbaya tuna spika ambaye hana chembe ya hekima wala uadilifu.

Kabla covid 19 hawajaapishwa, CHADEMA walitamka kuwa hawajawahi kufanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum. Ni nini kilichomkimbiza huyu spika mnafiki kwenda kuwaapisha kwenye garage? Kwa nini baada ya kusikia tamko la CHADEMA kutofanya uteuzi, spika asingechukua muda kujitidhisha, na badala yake akakimbilia kuwaapisha?

Wala tusizungushe maneno, tuna spika wakala wa shetani, anayeuabudu uovu.

Kwa ushauri wangu CHADEMA isipoteze muda kufanya hayo anayoyataka huyu muovu. CHADEMA walitimiza wajibu wao wa kumjulisha spika kuwa hawajafanya uteuzi, inatosha. Huyu muovu akae na hao wabunge wake, kama si leo au kesho, huyu spika muovu ataulipia uovu wake.

CHADEMA, wazidi kuweka wazi nyaraka zote zinazoonesha jinsi walivyotimiza wajibu wa kisheria na kikanuni. Wasipoteze muda kubishana na mtu mwenye dhamira ovu. Tumwache Ndugai aendelee kuishi katika uovu, na malipo yake, bila shaka hayatakosekana.
 
Bado kidogo ataomba muhtasari uliompitisha Rais Samia awe Mkuu wa Nchi.

Akili yake ni sawa na wapiga meza bungeni.Nape jiuzulu
 
Ndugai bado ana kile kiburi alichopandikiziwa na Magufuli na kupewa kinga feki. Nchi hii nasema haijawahi kupata spika mpumbavu kama huyu.
 
SUKUMA na TAGA wewe.
Babu yako Magufuli alijifanya lkn kaiacha chadema ipo hai.

Lakini kaisambaratisha,, nyalandu nae kawakimbia. Hicho chama kiendeshwe na msukuma, mtu wa pwani, kanda ya kusini ama magharibi utaona kama hakijapata wanachama.
 
Suala sio kufanana kwa Katiba suala ni Viambatanisho Tumia Akili ya Binadamu acha kutumia za mbwa
 
Binafsi Nina wasiwasi Sana na ndugai kwenye swala hili la wabunge 19 au covid-19.Huenda Kuna rushwa ya kingono au rushwa ya pesa, Sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…